Mpenzi amebadilika nifanyaje

Mpenzi amebadilika nifanyaje

Hii ni dhalau mtu hujamuoa ukiwa na genye uje kwa ajili ya just sex? Ni chombo cha starehe ?unafanya unavyotaka as if ni mkeo? Hata kama ni wapenzi haimaanishi ufanye unachotaka at any time. Kama unataka umpate at any time muoe. Kha!
Kukimbilia ndoa bila kuzoeana na msichana ni ujinga inabod mshibane kwanza
 
kuna mmoja kama huyo alikua anasubiri mimi ndiyo niwe wakwanza kumtafuta, nikaamua kukaa kimya nione mwisho wake.
Ni mwezi wa 4 sasa kila mtu yupo kimya analijenga taifa.
 
Unamkasirikia mtu anakuomba msamaha bado umefyumu tuuuuuuuuuuu akubembelezeje? Hadi lini yaan ndio uone yafaa kusamehe na kuendelea na maisha mengine!!!!!?


Mmepeana miadi mwenzio hakufika anakuja kukuelekeza kulikuwa na moja mbili tatu umekausha tu, siku inayofuata tena umemkaushia tu ebooooh! We mungu mtu?????


Maisha ni magumu sawa lakini tusiyafanye kuwa magumu zaidi.

Jifunze kusamehe utaishi kwa amani moyoni
 
minesoma Meseji Mwanzo mwanzo inaonyesha kama vile ni msichana analalamika, mbele nikaona kama mwanaume, jina la mtoa mada halipo wazi kijinsia sasa hapa nashindwa kujua namhauri mwanamke au mwanaume??

kama ni mwanaume basi wewe utakauwa una matatizo, maana hapo umebadilika wewe na sio yeye, ulitaka aache ibada aje kuvunja amri ya 6??
ila hizi mambo za kusuburi uanzwe na mtoto wa kike zinatoka wapi kwa wanaume? msichana anatakiwa kupendwa, kujaliwa na kudhaminiwa.......kuanza kumsalimia msichana wako ni kituu kikubwa na chenya maana saana (kwa tunaojua lakini)
 
kuna mmoja kama huyo alikua anasubiri mimi ndiyo niwe wakwanza kumtafuta, nikaamua kukaa kimya nione mwisho wake.
Ni mwezi wa 4 sasa kila mtu yupo kimya analijenga taifa.
Tatizo afadhali inhekuwa tabia yke toka awal lkn hii imekuja gafla zaman hakuwa hv
 
Wadau nipen ushaur nimuanze au nimuache !! Maana nahis ni km analipiza kiyendo cha mm kumchunia kwa zile siku mbili
 
Wote tumazaliwa 1996 ila mm jan yy september
Lazima "mchafuke" ili "mjifunze".
Wote bado makinda sana na inaniwia vigumu kushauri kwakweli.
Inawqezekana mnapimana nani mwenye kiburi kuliko mwenzie,au yeye kashapata mtu unatafutiwa sababu tu uachwe.girls at that age wanakua "sokoni" haswa!!
All in all,nashauri mtafute muongee.
Ila pia mpwa wangu...ACHA KUNUNIANA NUNIANA NA MWANAMKE,FANYA AONE TOFAUTI YAKO NA YAKE!!
Usivute mdomo na wewe kama mke mkubwa ambae hajaletewa kijora na bwana wakati bi mdogo kaletewa,utaachika mpaka uzire mahusiano!
 
Habarini wana jamii forums huwa napenda sana michango yenu humu maana kuna watu wapo bright sana na wana ushauri mzuri sana

Ipo hivi, nina mpenzi wangu tuna miaka miwili sasa katika mahusiano yetu siku hizi ameanza katabia hanitafuti kabisa na mimi nikinyamaza nae anakaa kimya

Zamani alikuwa akiona nipo kimya alikuwa anakosa amani na lazjma aje nyumban yaani ilikuwa ni lazima tuwasiliane siku kabla haijakatika

Ajabu nyingine ni kwamba licha ya kutonitafuta lakini nikimtafuta mimi tunaongea vizuri tunachat bila shida yoyote

Najiuliza shida ni nini kwanini hanitafuti au labda analipiza kisasi maana hapo majuzi aliniudhi nilimwambia kesho tukutane maana nina hisia kali na baridi akakubal ajabu kesho hakuja akaniambia home kwao kuna ibada alinijibu ucku mida ya saa 4 wakat mimi nilimtafuta jion na nilichomoka kazini ili tu nionane nae nikaacha shughuli zangu nilikasirika sana sikumjibu kitu

Kesho yake jioni alinitafuta kwa sms sikumjibu kitu kesho tena akanitafuta sikumjibu kitu nilikuwa bado na hasira pia niliwaza nikichomoka tena job ili nimuwahi yeye itakuwa kama mimi ndio najali sana sex kuliko mambo yangu ivo nikaogopa fedheha hiyo

Sasa kesho yke tena nikamtafuta mm 2liongea vzr tu lkn toka apo hajanitafuta tena upo kimya na si kawaida yake nawaza nimuanze mimi tena au na mimi ninyamaze
Achana na mapenzi mtoto, waza mitihani, mapenzi utayaelewa na kuyafurahia ukiwa mkubwa, sawa mtoto mzuri eeh??
 
Hapo hamna mapenz eti mwez mzima mmmh aiseee hio mm siwez nisipowasiliana nae siku nakosa aman na ilikuwa ivp toka awali lkn sasa kabadilika
ndo mana nkasema tafuta ajali wako wa kufanana nae
 
Back
Top Bottom