Mpenzi amebadilika nifanyaje

Mpenzi amebadilika nifanyaje

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,136
Reaction score
3,074
Habarini wana jamii forums huwa napenda sana michango yenu humu maana kuna watu wapo bright sana na wana ushauri mzuri sana

Ipo hivi, nina mpenzi wangu tuna miaka miwili sasa katika mahusiano yetu siku hizi ameanza katabia hanitafuti kabisa na mimi nikinyamaza nae anakaa kimya

Zamani alikuwa akiona nipo kimya alikuwa anakosa amani na lazjma aje nyumban yaani ilikuwa ni lazima tuwasiliane siku kabla haijakatika

Ajabu nyingine ni kwamba licha ya kutonitafuta lakini nikimtafuta mimi tunaongea vizuri tunachat bila shida yoyote

Najiuliza shida ni nini kwanini hanitafuti au labda analipiza kisasi maana hapo majuzi aliniudhi nilimwambia kesho tukutane maana nina hisia kali na baridi akakubal ajabu kesho hakuja akaniambia home kwao kuna ibada alinijibu ucku mida ya saa 4 wakat mimi nilimtafuta jion na nilichomoka kazini ili tu nionane nae nikaacha shughuli zangu nilikasirika sana sikumjibu kitu

Kesho yake jioni alinitafuta kwa sms sikumjibu kitu kesho tena akanitafuta sikumjibu kitu nilikuwa bado na hasira pia niliwaza nikichomoka tena job ili nimuwahi yeye itakuwa kama mimi ndio najali sana sex kuliko mambo yangu ivo nikaogopa fedheha hiyo

Sasa kesho yke tena nikamtafuta mm 2liongea vzr tu lkn toka apo hajanitafuta tena upo kimya na si kawaida yake nawaza nimuanze mimi tena au na mimi ninyamaze
 
My God! two years!!! unamfanya kisusio tuuuu........ ukijisikia baridi unamuita unamgonga!!!!! kachoka jaribu kupiga hatua nyingine!! tangaza ndoa uone!
 
Una umri gani?, na mpenzi wako ana umri gani?
 
akaniambia home kwao kuna ibada alinijibu ucku nida ya saa 4 wakat mm nilintafuta jion na nilichomoka kazin ili tu nionane nae nikaacha shughul zangu nilikasirika sn sikumjibu

Sasa wewe unaona ngono ni bora kuliko IBADA???
 
Habarin wana jamii forum huwa napenda sn michango yenu humu maana kuna watu wapo bright sn na wana ushaur mzur sn

Ipo hv nina mpenz wangu tuna miaka miwili sasa katika mahusiano yetu siku hz ameanza katabia hanitafuti kabisa na mm nikinyamaza nae anakaa kimya

Zaman alikuwa akiona nipo kimya alikuwa anakosa aman na lazjma aje nyumban yaan ilikuwa ni lazima tuwasiliane siku kabla haijakatika

Ajabu nyingine ni kwamba licha ya kutonitafuta lkn nikimtafuta mm tunaongea vzr tunachat bila shida yyote

Najiuliza shida ni nn kwann habitafut au labda analipiza kisasi maana apo majuz aliniudh nilimwambia kesho tukutane maana nina hisia kali na barid akakubal ajabu kesho hakuja akaniambia home kwao kuna ibada alinijibu ucku nida ya saa 4 wakat mm nilintafuta jion na nilichomoka kazin ili tu nionane nae nikaacha shughul zangu nilikasirika sn sikumjibu kitu

Kesho yke jion alinitafuta kwa sms sikumjibu kitu kesho tena akanitafuta sikumjibu kitu nilikuwa bdo na hasira pia niliwaza nikichomoka tena job ili nimuwah yy itakuwa km mm ndio najal sn sex kuliko mambo yngu ivo nikaogopa fedheha io

Sasa kesho yke tena nikamtafuta mm 2liongea vzr tu lkn toka apo hajanitafuta tena upo kimya na si kawaida yke nawaza nimuanze mm tena au na mm ninyamaze
Ukute alokufanya uandike huu uzi kuomba ushauri, ni mtoo wa 2000
 
My God! two years!!! unamfanya kisusio tuuuu........ ukijisikia baridi unamuita unamgonga!!!!! kachoka jaribu kupiga hatua nyingine!! tangaza ndoa uone!
Tuna mpango tunao mda sn tunachosubir kupanga biashara zetu zinyooke
 
Mm nna ajali wangu huyo tunaweza tusiongee ht mwezi lkn siku tukitafutana hua tunaongea fresh tuu na hakuna mambo ya kumuuliza mwenzie n kwann ulikuwa hunitafuti

ww tafuta ajali wako utakaye-fanana nae
 
Mm nna ajali wangu huyo tunaweza tusiongee ht mwezi lkn siku tukitafutana hua tunaongea fresh tuu na hakuna mambo ya kumuuliza mwenzie n kwann ulikuwa hunitafuti

ww tafuta ajali wako utakaye-fanana nae
Hapo hamna mapenz eti mwez mzima mmmh aiseee hio mm siwez nisipowasiliana nae siku nakosa aman na ilikuwa ivp toka awali lkn sasa kabadilika
 
Hii ni dhalau mtu hujamuoa ukiwa na genye uje kwa ajili ya just sex? Ni chombo cha starehe ?unafanya unavyotaka as if ni mkeo? Hata kama ni wapenzi haimaanishi ufanye unachotaka at any time. Kama unataka umpate at any time muoe. Kha!
 
Back
Top Bottom