Habari wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua
Niende moja kwa moja kwenye maada tajwa hapo juu, ni miezi takribani 3 tangu aliyekuwa mpenzi wangu (x-girlfriend) aliponiacha kwa kunitamka kuwa "kuanzia leo mimi na wewe basi" alipo nitamkia sentence iyo tu tangu siku iyo hakuwai kuona sms wala calling yangu, nilifuta taarifa zake zote kwenye kitarakilishi changu (computer na simu) sikutaka kabisa kumsikia ila moyoni nilikuwa na maumivu yaliokuwa ykiwaka moto mzito,
Hatimaye amemtafuta mtu wangu wa karibu na kuomba kuonana na mimi ili tuongee, lakini main pont yake kuu ni kutafuta suluhu kwa kilicho tokea katikati yetu (usaliti alionifanyia), uyu binti aliniachia maumivu makali sana wana JF, nilimpenda na kumthamini sana kwa kila kitu ila aliamua kwenda.
Wakuu, huyu binti napanga siku ya kuonana nae nifanye nini (niongee nae nini, nimpangeje ili baadae nije kumpiga tukio zito), maana nahisi moyo wangu una hasira na chuki juu yake kama mbogo, ila sizionyeshi kwake waziwazi, nataka nimpitishe kwenye ziwa la miiba ili atakae kuja kumuoa uyu binti basi binti awe na adabu na heshima.
NINI NATAKA KUTOKA KWENU:
Hyu binti nataka nimuweke kwenye mazingira ambayo afurahi kuwa na mimi uku nikimuandalia tukio lake la surprise.
Natamani nipate experince kwenye issue ya X wako kurudi ulimpa adhabu gani kuu, ambayo atokuja kuisahau (sio kumdhuru kimwili noo).
Najua watakakuja watu hapa na kusema samehe na sahau, No ilo nalijua