Mpendazoe ana chuki binafsi, apuuzwe

Mpendazoe ana chuki binafsi, apuuzwe

[QnUOTE="Van persie, post: [URL='https://www.jamiiforums.com/tel:15552057']15552057[/URL], member: 77448"]Chama kilimbeba sana,mwishowe anakuja kulipa fadhira kwa njia hii.Kweli tenda Wema nenda zako.Tumuukumu mbowe kwa scientific reasoning sio kwa mihemko.

Unaponiambia chama kimechuja.Kimechuja kwa kuangalia factors zipi?For me chama kimekua we have more councillors and legislators than ever.So tunapomuhukumu Mbowe tuje na facts sio propaganda kama alivyozitaja mpendazoe
Naona nyumbu mnafarakana kwani wewe ni chadema ipi chadema mafisadi au ni chadema masalia au chadema asili?[/QUOTE]
Kaza buti na umri ndio huo unakimbia
 
Kumjadili Mpendazoe na hoja zake juu ya CHADEMA ni kupoteza muda, mamluki yule
 
Mpendazoe yuko sahihi kabisa. anawashangaa Chadema na Mbowe kuendelea kumkumbatia yeye (mp'zoe) licha ya mara zote kuangukia pua kwenye kura za maoni.........huu ni udhaifu MKUBWA kwa Mbowe aachie ngazi bwana
 
Back
Top Bottom