Mpendazoe ana chuki binafsi, apuuzwe

Mpendazoe ana chuki binafsi, apuuzwe

MPENDAZOE ANACHUKI BINAFSI APUUZWE

Na. Mhere Mwita

Nimesikitika sana kuona andiko la Tungu Fred Mpendazoe ambalo amelipa kichwa cha MBOWE ANATAKIWA KUJIUDHURU SIO KUCHAGUA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Sijasikitika kwa sababu kamtaja Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe bali kilichonisikitisha ni uwezo mdogo aliotumia mkongwe huyu wa siasa kuelezea hisia zake binafsi kumusaidia Nape kufanya kazi yake ya Propaganda.

Mimi sio Msemaji mkuu wa Mwenyekiti wa chadema lakini ni jukumu langu kama ninapoona upotoshaji wowote nautolea ufafanuzi kama ukweli naujua hii sio kwa sababu nionekane mzuri kwa mtu fulani laa hasha.

Mpendazoe Amejalibu kuongelea baadhi ya mambo ambayo yeye anadhani yangemfanya Mwenyekiti Mbowe Ajiudhuru;-

1)-KUHUSU UBUNGE Mpendazoe ameeleza kuwa kukosa ubunge ukanda ambao tulikuwa tunanguvu akatolea mfano Tabora, Mwanza, Shinyanga na Simiyu ndio sababu ambayo imufanye Mwenyekiti kujiudhuru.

Na kwa kutolea ufafanuzi wake anasema kuwa hakuwekeza Nguvu sana huko , Mimi ninaswali hapa hivi ni kwanini tulishinda Mara Seregeti, Tarime Zote na Bunda bila kusahau Ukelewe na Bukoba.

Katika majimbo niliyoyataja yalipewekewa Nguvu na nani kwa hiyo anamaanisha kuwa mbowe aliyaruka majimbo yaliyokaliwa na wasukuma akapeleka Nguvu sehemu ambapo hapana wasukuma.

Hii ni hoja dhaifu sana ninaswali kwake yeye alikuwa ni Mgombea Ubunge jimbo la kishapu na kata ya Sekebugolo kwa hiyo hata kata ilimshinda kuchukua na wakati ameshawahi kuwa mbunge wa Kishapu 2005.

Anasema Lowasa watu walimkataa na angekuwepo Dr Slaa angeshinda lakini mpendazoe ajatuambia kwa Machanism gani dr slaa angeshinda mpendazoe alikuwa anataka kutuaminisha kuwa Dr slaa alikuwa na nguvu kuliko Lowasa.

Kwa kauli hii ya Mpendazoe inaonyesha hata yeye hakumpigia kura Lowasa alimpigia kura Magufuri vile vile inanipa picha kuwa mpendazoe ahukusahili kupeperusha Bendera ya chadema kishapu maana alikuwa hajipanga badala yake alikuwa anasubir nguvu ya Dr slaa.

Kutokana na kauli yake hii inaonyesha wapiga kura za maoni huwa wanaakili sana mwaka 2010 alishidwa akawa SEGEREA jina lake kamati kuu wakalirudisha na vile vile mwaka 2015 alikuwa mshindi wa pili KISHAPU jina lake likarudi.

Kutokana na maelezo yake haya inaonyesha kuwa wapiga kura wanamjua vyema Mpendazoe lakini chama huwa kinalazimisha tu kumpeleka mtu kama huyu ambae hawezi kuona hata mkoa aliyotaja ilipigaje kura.

Ni Mimi Mhere Mwita
Mwana wa Geita
Ng'wana wa beheld

Kama kweli jina lake lilishindwa mara mbili halafu mara zote hizo kamati kuu ililirudisha kweli Mbowe anastahilikujiuzulu
 
Kama kubebwa Na chama mpendezoe alibebwa sana toka segerea mpaka kishapu pia kama kukiangusha chama alikiangusha sana yeye kama mgombea aliyejiandaa kuwa mbunge kwa nini alichelewa kuanza kampeni zake za ubunge yeye pia anamapungufu mengi tu alifanya Adi wanachama Wa chadema kishapu wakaandamana kupingana Na makao makuu kuwaletea mpendezoe
 
Yaani mtu yoyote ndani ya Chadema atakayekuwa na fikra tofauti na Mbowe anakuwa na chuki binafsi daah!! Mbowe mtume wa Chadema marufuku kumpinga.
 
Huna akili kabisa mkuu.... Familia yako ina hasara mno..
Fadhali familia yangu ina hasara,yako ipo kwenye msiba kwani wewe tayari umeshachukuliwa msukule na sasa upo lumumba unalinda langoni wakati nyumbani kwako wanajua umeporomoka toka juu ya mnazi ukigema tembo
 
Mbowe ndio ajifunze kuheshimu maamuzi ya wanachama. Nchi nzima ilikuwa kilio cha kuletewa watu ambao hawakutakiwa na wanachama. Alimbeba Mpendazoe sasa kageukwa.
Hata hivyo kuhusu Lowassa sitofautiani na Mpendazoe hata mimi nilimdharau Mbowe.
Tangu lini panya nyumba akampenda panya buku?wewe ni panya wa nyumbani na wenzako ni panya buku Nyinyiemu
 
Mbowe ndio ajifunze kuheshimu maamuzi ya wanachama. Nchi nzima ilikuwa kilio cha kuletewa watu ambao hawakutakiwa na wanachama. Alimbeba Mpendazoe sasa kageukwa.
Hata hivyo kuhusu Lowassa sitofautiani na Mpendazoe hata mimi nilimdharau Mbowe.
1457812496335.jpg
 
Fadhali familia yangu ina hasara,yako ipo kwenye msiba kwani wewe tayari umeshachukuliwa msukule na sasa upo lumumba unalinda langoni wakati nyumbani kwako wanajua umeporomoka toka juu ya mnazi ukigema tembo
Lowassa anajuta sana kujiunga na chama chenye mazuzu kama wewe..
 
[QnUOTE="Van persie, post: [URL='https://www.jamiiforums.com/tel:15552057']15552057[/URL], member: 77448"]Chama kilimbeba sana,mwishowe anakuja kulipa fadhira kwa njia hii.Kweli tenda Wema nenda zako.Tumuukumu mbowe kwa scientific reasoning sio kwa mihemko.

Unaponiambia chama kimechuja.Kimechuja kwa kuangalia factors zipi?For me chama kimekua we have more councillors and legislators than ever.So tunapomuhukumu Mbowe tuje na facts sio propaganda kama alivyozitaja mpendazoe[/QUOTE]
Naona nyumbu mnafarakana kwani wewe ni chadema ipi chadema mafisadi au ni chadema masalia au chadema asili?
 
MPENDAZOE ANACHUKI BINAFSI APUUZWE

Na. Mhere Mwita

Nimesikitika sana kuona andiko la Tungu Fred Mpendazoe ambalo amelipa kichwa cha MBOWE ANATAKIWA KUJIUDHURU SIO KUCHAGUA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Sijasikitika kwa sababu kamtaja Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe bali kilichonisikitisha ni uwezo mdogo aliotumia mkongwe huyu wa siasa kuelezea hisia zake binafsi kumusaidia Nape kufanya kazi yake ya Propaganda.

Mimi sio Msemaji mkuu wa Mwenyekiti wa chadema lakini ni jukumu langu kama ninapoona upotoshaji wowote nautolea ufafanuzi kama ukweli naujua hii sio kwa sababu nionekane mzuri kwa mtu fulani laa hasha.

Mpendazoe Amejalibu kuongelea baadhi ya mambo ambayo yeye anadhani yangemfanya Mwenyekiti Mbowe Ajiudhuru;-

1)-KUHUSU UBUNGE Mpendazoe ameeleza kuwa kukosa ubunge ukanda ambao tulikuwa tunanguvu akatolea mfano Tabora, Mwanza, Shinyanga na Simiyu ndio sababu ambayo imufanye Mwenyekiti kujiudhuru.

Na kwa kutolea ufafanuzi wake anasema kuwa hakuwekeza Nguvu sana huko , Mimi ninaswali hapa hivi ni kwanini tulishinda Mara Seregeti, Tarime Zote na Bunda bila kusahau Ukelewe na Bukoba.

Katika majimbo niliyoyataja yalipewekewa Nguvu na nani kwa hiyo anamaanisha kuwa mbowe aliyaruka majimbo yaliyokaliwa na wasukuma akapeleka Nguvu sehemu ambapo hapana wasukuma.

Hii ni hoja dhaifu sana ninaswali kwake yeye alikuwa ni Mgombea Ubunge jimbo la kishapu na kata ya Sekebugolo kwa hiyo hata kata ilimshinda kuchukua na wakati ameshawahi kuwa mbunge wa Kishapu 2005.

Anasema Lowasa watu walimkataa na angekuwepo Dr Slaa angeshinda lakini mpendazoe ajatuambia kwa Machanism gani dr slaa angeshinda mpendazoe alikuwa anataka kutuaminisha kuwa Dr slaa alikuwa na nguvu kuliko Lowasa.

Kwa kauli hii ya Mpendazoe inaonyesha hata yeye hakumpigia kura Lowasa alimpigia kura Magufuri vile vile inanipa picha kuwa mpendazoe ahukusahili kupeperusha Bendera ya chadema kishapu maana alikuwa hajipanga badala yake alikuwa anasubir nguvu ya Dr slaa.

Kutokana na kauli yake hii inaonyesha wapiga kura za maoni huwa wanaakili sana mwaka 2010 alishidwa akawa SEGEREA jina lake kamati kuu wakalirudisha na vile vile mwaka 2015 alikuwa mshindi wa pili KISHAPU jina lake likarudi.

Kutokana na maelezo yake haya inaonyesha kuwa wapiga kura wanamjua vyema Mpendazoe lakini chama huwa kinalazimisha tu kumpeleka mtu kama huyu ambae hawezi kuona hata mkoa aliyotaja ilipigaje kura.

Ni Mimi Mhere Mwita
Mwana wa Geita
Ng'wana wa beheld
Aaah ufipa hali ni mbaya tujuzeni kulikoniii?
 
Back
Top Bottom