Akapata mat.ak.oAmekosa akili.
Uwezekano wa uliyoyasema ni mdogo sana sikubaliani nao.Badala ya nesi labda ungesema boyfriend wake. Nshafanyiwa huo ushenzi na boyfriend wangu!nesi aliyepangwa kumdunga sindano demu wangu ana tabia mbaya, anamwambia shusha suruali badala ya kumdunga anampiga picha
na mbaya zaidi anaileta huku kwenye mitandao, nonsense
pole sana, ni mshenzi sanaUwezekano wa uliyoyasema ni mdogo sana sikubaliani nao.Badala ya nesi labda ungesema boyfriend wake. Nshafanyiwa huo ushenzi na boyfriend wangu!