Mwiba upi sasa, haya mapicha ya fisi ya photoshop badala ya kujibu hoja? anayefuatilia majadiliano baina yetu atafahamu kile kitu unachokiita 'uezo' kama kweli unacho. Mimi siwezi kuacha upotoshe watu na pia ujiabishe kwa porojo, nitakuuliza kile ulichoandika ili uoneshe 'uezo' wa kile unachokijua. Mara nyingi unakimbilia kuonesha utofauti wa itikadi kama nia yako ya kukimbia hoja. Hata kama kweli umetofautiana na mtu itikadindio uwezo wako wa kujibu hoja unakwisha? Watu kama ninyi ndio mnaoaibisha chama mpaka wengine wote wanaonekana wanywa viroba. Jiimarishe ghorofani,ukitoa hoja za maana utaitetea itikadi yako na sio kukimbilia vipicha vya kindergarten