Mpasuko wanukia CHADEMA

Hivi mmiliki wa meli iliyokamatwa na meno ya tembo kule ughaibuni alisha enda kumaliza kesi yake?
Siku hizi kajificha kabisa hajionyeshi onyeshi. Hata sins hakika kama hata Zanzibar kumtawadha mtu wao kama alienda.
Kuna mtu kaniambia toka Maghembe apewe Maliasili kanywea maana wakati wa Mkwere alikuwa anamtangaza kuwa ni mzigo na jamaa Profesa kasema watakutana porini ama zake ama za profesa. Kanywea kabisa Dentist
 
Kwahiyo CCM inajificha nyuma ya CHADEMA?
Ungesoma mtiririko wa majibizano, ungedua uyaelezayo ni kinyume, mathalani wewe uliondoka CCM kumfuata Lowasa CDM.....yumkini unaambukiza mawazo ya kiccm CDM.....
 
Chadema chama kisichoaminika watapinga hii hadi mwisho kama walivyokapinga ujio wa lowasa kumbe mbowe alishajipigia dili kitambo...!!

Sasa kama aliweza hilo kubwa nawe ukaamini ni kweli lilikua dili la Mbowe sembuse Mpendazoe ambae ukimshtukiza ghafla hata jina chadema hawezi litamka? Mpendazoe alishakosa kote bara na pwani ili iweje hata mpasuko ukiwepo faida yake kwake ni ipi?Kuwa atapewa uenyekiti chadema?Walishindwa manguli wa siasa kina Slaa na wenzie wengine. Yaani chadema ni imara kama chuma cha pua.
 
Huu ni utabiri. Kuna mwanasiasa mmoja ambaye alikuwa analala sana bungeni aliwahi kusema chama hicho kitakufa kabla ya mwaka 2015. Chama hakikufa; kimeendelea kukuwa.
 
Chadema chama kisichoaminika watapinga hii hadi mwisho kama walivyokapinga ujio wa lowasa kumbe mbowe alishajipigia dili kitambo...!!
Kweli hakuaminiki ila nashangaa sasa wamepata ridhaa ya wana jiji.... Think rationally...
 
Lumumba mnajilazimisha kujamba wakati tumbo linahala subir tuone mwisho
 
Ungesoma mtiririko wa majibizano, ungedua uyaelezayo ni kinyume, mathalani wewe uliondoka CCM kumfuata Lowasa CDM.....yumkini unaambukiza mawazo ya kiccm CDM.....
Kwahiyo wewe unaamini kuwa CCM bado ina mawazo "makini" mpaka kufikia CHADEMA kuwaiga?
 
Mpasuko wa nini wa sketi au gauni fafanua.
 
Hujalazimishwa kuchangia post zangu,kama unaiona ni mwiba kwako ipotezee
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh nyie watu jamani mna maneno,kajificha!!!!!,ila nasikia jana alikuwepo kumuwakilisha mkuu wa nchi asilia yake kule kwenye mabomu
 
Ungesoma mtiririko wa majibizano, ungedua uyaelezayo ni kinyume, mathalani wewe uliondoka CCM kumfuata Lowasa CDM.....yumkini unaambukiza mawazo ya kiccm CDM.....
Kwahiyo wewe uliyefukuzwa toka cdm ukaenda ccm na act huko unaeneza mawazo ya cdm?
 
Asante sana mkuu kwa kutoa ufafanuzi ulioshiba kwa nondo za mm30
 
Lumumba wapuuzi kweli kweli Kila Siku waja Na ngonjera mpya kuhusu cdm kumbe hamlali hata chooni hamuendi, mwataman ife, aiseee huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…