weed
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 2,458
- 3,590
Yangu macho..chama cha rangi ya majani wazee wa goli la mkono lazima wafanye yaoKura haziibiwi mwaka huu
Yangu macho..chama cha rangi ya majani wazee wa goli la mkono lazima wafanye yaoKura haziibiwi mwaka huu
Ndivyo ilivyofanywa ara mwjaa 2010,sasa mnabishana nin hapo?mwaka 2010 zilitangazwa vituoni,na kwenye majimbo.
Vimama vijikurugenzi ndiyo vinapenda ujinga kalipa fadhira za mchepuko wao jk!
Wanajamvi hivi sasa hali katika tume ya taifa ya uchaguzi si shwari kwa upende mmoja na nishwari kwa upande mwingine, ifahamike katika uchaguzi tume ya taifa hujumuisha pia maafisa wa serikali kama vile wakurugenzi wa halmashauri, nk.
Sasa kilichotokea katika tume hiyo limeibuka kundi ndani ya tume hiyo wakiwemo maafisa wa juu wa tume na wengi wa wakurugenzi ambao wasimamizi wa chaguzi ngazi ya wilaya wakidai na kusisitiza safari hii hakuna kupokea maelekezo yoyote kutoka kwa mwanasiasa.
Kundi hilo linataka kwamba kura zikishahesabiwa na matokeo kujulikana, basi mshindi atangazwe mara moja. Ila kuna baadhi ya maofisa ndani ya tume wanapinga sana wazo hilo jema.
Tusubiri tuone.
Wanajamvi hivi sasa hali katika tume ya taifa ya uchaguzi si shwari kwa upende mmoja na nishwari kwa upande mwingine, ifahamike katika uchaguzi tume ya taifa hujumuisha pia maafisa wa serikali kama vile wakurugenzi wa halmashauri, nk.
Sasa kilichotokea katika tume hiyo limeibuka kundi ndani ya tume hiyo wakiwemo maafisa wa juu wa tume na wengi wa wakurugenzi ambao wasimamizi wa chaguzi ngazi ya wilaya wakidai na kusisitiza safari hii hakuna kupokea maelekezo yoyote kutoka kwa mwanasiasa.
Kundi hilo linataka kwamba kura zikishahesabiwa na matokeo kujulikana, basi mshindi atangazwe mara moja. Ila kuna baadhi ya maofisa ndani ya tume wanapinga sana wazo hilo jema.
Tusubiri tuone.