Mpasuko Chadema

Kwa iyo wewe unafurahi cdm ikipasuka au unakasirika? Iyo mada yako ingekuwa insha ya darasa la tatu kisha uwaambie watunge title,wengi wangesema : mpasuko ccm, wengine wangesema mwandishi alikuwa au amelewa au anaishi milembe Dodoma! Great thinkers wanaojua posts za Zomba hawatashangaa hata kidogo. Ila kwa hii thread umejitahidi kidogo kuficha ujinga wako,hujaweka udini na wala ujamtaja mtu bali umeandika ili ujaze screen yako kisha upost! Hongera.
 
 
Labda sio Tanzania, Tunisia wakifanya maandamano zinatumika risasi baridi. Hapa, wewe mwenyewe unajuwa, sina haja ya kukukumbusha.
Nionavyo mimi ZOBA katoa na facts azianazo yeye tujibu izo facts badala ya kupoteza muda kwa kupinga bila hoja.
 
Nionavyo mimi ZOBA katoa na facts azianazo yeye tujibu izo facts badala ya kupoteza muda kwa kupinga bila hoja.

Umenena, watu kama wewe mkiwa viongozi Chadema, mimi ntahama CCM.
 

Ahsante sana , lakini hujajibu hoja.
 
Sio moja yote ni upupu tu. Mdogo wake wa MS

Kama vile ya wengine kususia hotuba ya Rais na wengine kususia agizo la Mwenyekiti na kutokufika kabisa ukumbini?
 
Hakuna haja ya kuenda mbali, hata hii ni pumba!

Ikiwa mchele unaouona pumba? sijuwi nikuweke kundi lipi? la wataka maendeleo au wapinga maendeleo? Au Yanga wewe? maana Chadema wote Simba!
 
Umenena, watu kama wewe mkiwa viongozi Chadema, mimi ntahama CCM.
Kumbe hoja yako ni kwa sababu upo CCM? Sisi wenzio hatupo CCM wala Chadema tupo huru kuchangia mawazo huru. Bahati mbaya wewe huwezi hata kumpinga Mary Chatanda aliyeshiriki kufinyanga demokrasia. Hata Makamba anayeua Chama chako kwako poa tu. Hata Kombani na Werema wanaompinga Rais wao kwako dole. Hata mgawanyiko uliopo baraza la mawazri wewe kwako sio tatzo ila tatizo ni Chadema
 
Mwanafunzi mwingine wa makamba. Angalia sana aisee,yeye mwenyewe anategemea lifti ya ndege ya mkulu na familia yake siku ya kukimbilia hukooo....(refer mambo ya Tunisia). Kindege chenyewe kidogoo,we haumo aisee...grow up!!!

Wishful thinking.
 

Hao Chadema wote hata viongozi walitokea wapi?
 

na mipasuko ndani ya CCM, je?
 
Kama vile ya wengine kususia hotuba ya Rais na wengine kususia agizo la Mwenyekiti na kutokufika kabisa ukumbini?
Rais wako ameaibika sana wewe unashangaa Cahdema ktooka wote. muulize hoja ya katiba ameitoa wapi bila kikao chochote cah CCM kama sio mtikisiko toka upinzani? Ndoto za fisi kusubiri mkono wabinadamu uanguke jambo ambalo hailtatokea kamwe. Wait and see 2015 CCM inazikwa
 


Waeleze hawa wasiyaona hayo, hawajuwi kama siasa ya sasa hivi ni ushindani, kama unahitaji kura zaidi lazima urekebishe makosa na kuvutia wanachama wapya wa kukupa hizo kura, kwani kwa sasa ndio hivyo tena, 20%.
 
Walitoka tumboni mwa Mama zao

Kwa kujulia mambo wewe, nakusifu, naona wao walikuwa hawajui hilo, kuwa hakuna mmoja wetu aiyetokea huko, ni vizuri umeweka wazi, labda hapo ndipo watapo tia akili na kusikiliza muono wa wengine waliotokea huko huko.
 

Nadhani Rais kawaaibisha Chadema na juzi UDSM ndio kabisa walipowekewa bayana kuwa hii si katiba ya kwanza Tanzania na zote zilikuwa zikibadilishwa na mtu mmoja tuu, Nyerere, na kwa mara ya kwanza JMK kasema atawashirikisha wananchi, nadhani hilo nalo jambo kubwa sana hapo. Au wewe unaonaje? ikiwa hiyo ndio kulazimishwa na Chadema na akakubali, sasa unamuweka wapi mtu kama huyo? na alipokubali kuweka tume ya katiba ilikuwa kabla au baada ya maandamano yaliyouwa Arusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…