Mpango wa Maji 2026/2027: Mikakati

Mpango wa Maji 2026/2027: Mikakati

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
512
Reaction score
491
MPANGO WA KUIMARISHA VYANZO VYA MAJI NCHINI
IMG-20260507-WA0058.jpg


Katika mwaka 2026/2027, Wizara ya Maji imepanga kujenga na kukarabati mabwawa 33, kubuni mabwawa mapya 34, pamoja na kufanya tathmini ya athari za kimazingira kwa mabwawa mawili. Aidha, itachimba visima virefu 300, kuhamasisha wananchi kuvuna maji ya mvua kupitia mapaa ya nyumba, na kutambua pamoja na kutangaza vyanzo 45 vya maji kuwa maeneo tengefu ili kulinda rasilimali za maji nchini.
 
Back
Top Bottom