Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 512
- 491
MPANGO WA KUIMARISHA VYANZO VYA MAJI NCHINI
Katika mwaka 2026/2027, Wizara ya Maji imepanga kujenga na kukarabati mabwawa 33, kubuni mabwawa mapya 34, pamoja na kufanya tathmini ya athari za kimazingira kwa mabwawa mawili. Aidha, itachimba visima virefu 300, kuhamasisha wananchi kuvuna maji ya mvua kupitia mapaa ya nyumba, na kutambua pamoja na kutangaza vyanzo 45 vya maji kuwa maeneo tengefu ili kulinda rasilimali za maji nchini.
Katika mwaka 2026/2027, Wizara ya Maji imepanga kujenga na kukarabati mabwawa 33, kubuni mabwawa mapya 34, pamoja na kufanya tathmini ya athari za kimazingira kwa mabwawa mawili. Aidha, itachimba visima virefu 300, kuhamasisha wananchi kuvuna maji ya mvua kupitia mapaa ya nyumba, na kutambua pamoja na kutangaza vyanzo 45 vya maji kuwa maeneo tengefu ili kulinda rasilimali za maji nchini.