mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,090
- 653
Ningekuwa na mamlaka ningeamuru Lindi iende visiwani




mkwere akisoma hii post yako simo uchochezi huu
ten 
Hahaha, ikawekwe kiembe samakiNingekuwa na mamlaka ningeamuru Lindi iende visiwani

Mmmmh waha nao wapo vizur tatu/nne sio wengine Mara 11/3 au 2/16 hapa wanakua wanabahatishaBig up Kigoma
Mjini ni kwasababu pana watu mchanganyiko na wahamiajiat least Mjini Magharibi wameipaisha Zenji!