Mpangaji wangu hataki kunilipa....Sheria inasemaje??

NISAIDIENI NA MIMI KUANDIKA MKATABA JAMANI HII NDO SAMPO YANGU MKATABA WA MPANGAJI NA MWENE NYUMBA
TAREHE................2O1O

JINA LA MPANGAJI……………………
JINA LA MWENYENYUMBA…………………………………….
MASHART YA NYUMBA 1……………………………..2…………………………….3…………………………4

1)CHUMBA sh.15000
2)umeme sh.5000
Mpangaji; Mimi…………….......bin………………….. nimekubaliana na mkataba huu kwa hiari yangu mwenyewe na kua mpangaji halali wa ……………………………………………………………….
mwenyenyumba ; Mimi……………………….bin……………………… nimekubali kumpangisha ………………………………………..kwa hiari yangu na awe mpangaji wangu halali

sahihi ya mpangaji ………………………………… sahihi ya mwenyenyumba …………………………….


 
NISAIDIENI NA MIMI KUANDIKA MKATABA JAMANI HII NDO SAMPO YANGU MKATABA WA MPANGAJI NA MWENE NYUMBA
TAREHE................2O1O

JINA LA MPANGAJI……………………
JINA LA MWENYENYUMBA…………………………………….
MASHART YA NYUMBA 1……………………………..2…………………………….3…………………………4

1)CHUMBA sh.15000
2)umeme sh.5000
Mpangaji; Mimi…………….......bin………………….. nimekubaliana na mkataba huu kwa hiari yangu mwenyewe na kua mpangaji halali wa ……………………………………………………………….
mwenyenyumba ; Mimi……………………….bin……………………… nimekubali kumpangisha ………………………………………..kwa hiari yangu na awe mpangaji wangu halali

sahihi ya mpangaji ………………………………… sahihi ya mwenyenyumba …………………………….


 


kaka, pamoja na ushauri wako, Huyo mwenye nyumba analipa kodi serikalini pamoja na kupangisha?, manake kama nyumba siku hizi zinalipiwa kodi ni wenye nyumba wachache sana wanaolipa kodi serikalini. hata siku moja hawatoi risti wakichukua hela ya kodi.

Labda TRA waanze sasa kutambua nyumba zinazopangisha wazitoze kodi.
 

Kwanza pole!
Pia elezea amepenga maeneo gani?
Mkoa gani?
Mwaka gani?
Halafu mkataba huwepo mashahidi upande wa mwenye mali...na upande mwingine.
N.B
Ungeweka huo mkataba hapa wajuzi wauone.
Utapata ushauri mzuri humu kwa GT kama ulivyotanguliza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…