Mpangaji mwenzangu ananiroga!

Umejuaje kwamba unalogwa na jirani yako ndo mlozi wako? Wawezakuta mawazo yako kichwani ndo yanafanya kichwa kiume!!
 
Ukimtumainia mungu utaogopwa na kila kitu,bali usipomtumainia mungu utaogopa kila kitu.
 
Hospital wamekuambia tatizo ni nini kuhusu hicho kichwa kutopona??
 
Hospital wamekuambia tatizo ni nini kuhusu hicho kichwa kutopona??
Wameniambia kuwa sina Malaria pia sina ugonjwa wowote ambao umeoneka na cna matatizo ya macho ambayo pia yaweza kachangia maumivu ya kichwa.
 
****
huyo anayekuroga ni nduguyo ndugu wa mama yako Maji ya kunde mrefu kiasi mtaratibu NA mpole kiasi /
 
Hii topiki ni ya kijinga kabisa. Mambo gani mnatuletea hapa JF?? Ujinga mtupu.
 
Ukiona thread ya matingi-litikiti ........
 
Yawezekana humwamini Mungu. Wamwaminio Mungu hawapati mambo kama haya.
 
unauhakika mkeo alimuona anaweka dawa? pengine mkeo ndiyo mchawi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…