Inaonekana hio family inastruggle financially,ila mwanaume anapambana kiume akitaka yasijulikane nje sema mwisho wa siku wife anashindwa kuvumilia especially anavyomuona dogo anashinda njaa,wala usihame ila tu ongea na huyo mwanamke atengeneze mambo ya nyumba yake ili akuepushie wewe dhahma