Mpanda vs Singida wapi pazuri kuishi na kutoboa haraka kimaisha?

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
486
Reaction score
2,069
Kuna jamaa yangu kapata kazi kwenye private coy flani,kaambiwa achague kati ya Singida au Mpanda wapi anataka awe reallocated. Binafsi nimeishi singida ila mpanda sipajui coz sijawahi kufika.

Ungekua wewe ungemshauri huyu jamaa aende wapi kati ya Singida na Mpanda?
 
Inategemea na yeye ana interest gani? Kwa mfano mimi napenda kulima its obviously ningechagua Mpanda. Kuna mwingine anapenda kusafiri labda familia iko Tabora au Dodoma au Arusha angechagua Singida kutokana na urahisi wa kufika hayo maeneo.
 
Hizo sehemu zote hazifai hata kidogo
 
Muulize kwanza vitu anvo penda nje ya kazi malengo kiuchumi nk utakua simpo kumshauri


Fullstop, kwishaaa
 
Mp anda pako safi sana aisee
 
Achague kulingana na Interest nje maisha ya kazi. Kama anapenda kuji Mix By yas bila shaka atachagua Singida ila kama ana passion ya kukua kiuchumi nje ya maisha ya kazi za ajira atachagua Mpanda.
 
maisha hayana kutoboa haraka tulia plan execute then rudia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…