Mpanda: Tundu Lissu ayalipua Maridhiano, Kingai, Byakanwa na Wambura Watajwa

Kama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo
Kama ni siasa mbaya na bado ana wafuasi wengi kiasi kile basi hizo siasa zake zinafaa
 
Mh Tundu lisu fanyeni siasa safi zama zimebadilika sana hii mambo yakutaja majina italitesa Taifa bila sababu.
 
Maridhiano ni pamoja na kusahau yaliyopia! Lissu hawezi na hana uwezo wowote wa kuwa kiongozi!

Maridhiano mazuri ni kuacha ya kale yapite ili ukurasa mpya uchukue hatua zake
huyu Lisu si ndo yule aliwashauri chadema waingie mkataba hata na shetani (ambaye angemwaga makafara) alimradi tu wakamate nchi? kama ulisoma kitabu cha dr.slaa utaelewa. umeona watu waliokuzwa maisha ya kishirikina wanawaza ushetani all the time? tutaaminije sasa kama huko ulaya ambako walikuwa wanamtunza hajaingia mkataba na freemason akamate nchi ili aiuze mazima? manake yeye yupo tayari kwa lolote alimradi tu ashike nchi.
 
Uongo mtupu
 
Kama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo
Unadhani hayo tu ndio aliyoongea kwenye huo mkutano? Hiki ulichopewa hapa ni sehemu ndogo tu ya alichoongea.
 
Mh Tundu lisu fanyeni siasa safi zama zimebadilika sana hii mambo yakutaja majina italitesa Taifa bila sababu.
Kwasababu ww ulishiriki ule uovu, basi unataka watu wakae kimya bila kutaja majina ya hao waliokuwa wakiendesha uhayawani, ili huko mbeleni mrudie tena tabia hiyo.
 

Utamuuzia nani nchi masikini hii? Au unadhani hao wazungu wanaitaka sana nchi yetu?
 
Maridhiano ni pamoja na kusahau yaliyopia! Lissu hawezi na hana uwezo wowote wa kuwa kiongozi!

Maridhiano mazuri ni kuacha ya kale yapite ili ukurasa mpya uchukue hatua zake
Ulishawahi kupigwa japo kokoto lwa kutumia manati wewe ? Unaongea ukijigeuza kwenye sofa? Unataka mtu aliyeshambuliwa kwa risasi kama jambazi tena kwa kusema ukweli asamehe ?
 
uongo kwasababu hujasoma kitabu cha dr slaa au uongo kwasababu unaamua tu kusema ni uongo?
Kwani kitabu cha Dr. Slaa ni Qoran au Bible? Kitabu cha Dr.Slaa kitabu cha Dr.Slaa, kama unakiona ni kitabu cha maana hiyo ni kimpango wako.
 
Ulishawahi kupigwa japo kokoto lwa kutumia manati wewe ? Unaongea ukijigeuza kwenye sofa? Unataka mtu aliyeshambuliwa kwa risasi kama jambazi tena kwa kusema ukweli asamehe ?
Mkuu, asiposamehe ndo atarudi kama alivyokuwa?

Ni kweli haiwezekani kusahau, lakini utafanyeje sasa mkuu, ni kusamehe tuu ili maisha mengine yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…