Mpanda baiskeli usiku bila ya taa

Mpanda baiskeli usiku bila ya taa

sultanwjps

Member
Joined
Jun 27, 2010
Posts
14
Reaction score
0
Siku moja mtu mmoja jijini Dar aliendesha baiskeli usiku bila ya kua na taa, kwa bahati alikutana na askari mgambo na akamsimamisha kwakua hakua na taa. sasa maongezi yao yalikua kama ifuatavyo :

Mgambo : Jee mzee wapi Taa.

kijana aliepanda baiskeli nae akajibu : Ndio napitaa. na akaendelea na safari.

Mgambo : Simama

Kijana akajibu : Ndio ni baba tena anaendelea na safari

mgambo : Shuka chini.

Kijana akajibu : Blangeti juu na huyoo anayoyoma
 
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! weraaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

:closed_2:

hatoi bira heraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:humble:
 
Back
Top Bottom