Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,237
- 44,470
Baada ya serikali ya CCM kuwalea na kuwadekeza wezi wa mali zetu; baada ya serikali hiyo kuremburiana macho na mafisadi kwa miongo kadhaa sasa; baada ya kuonesha woga na kutokujiamini mbele ya wale wanaotufanya tuwe duni mbele zao sasa nasema imetosha!
.....
"Neither your life nor my life, nor the future of this country, will be affected in the slightest by whether NONO is naughty or nice. But if any president is able to commit crimes with impunity by using the vast powers and perquisites of his office to cover up, then we will have a danger of corruption and abuse of power that can only grow with the passing years and generations." Thomas Sowell
Natumaini kuna gazeti litakubali kuchapa ninachoandika; hawa watu wachache hawawezi kamwe kuishikilia nchi yetu kama rehani! Ikibidi twende kwenye uchaguzi mwaka huu na twende lakini hatuwezi kuwaachia nchi hawa.
Natumaini kuna gazeti litakubali kuchapa ninachoandika; hawa watu wachache hawawezi kamwe kuishikilia nchi yetu kama rehani! Ikibidi twende kwenye uchaguzi mwaka huu na twende lakini hatuwezi kuwaachia nchi hawa.
Wafuatao nawatangaza daima kuwa ni maadui wa Tanzania na maslahi yake. Ni maadui wa maendeleo yetu na mmoja mmoja na kama kundi wanaleta mbele yetu hatari iliyo wazi na dhahiri. Kundi la watu hawa wanatakiwa waogopwe makampuni yao yasusiwe na miradi yao isusiwe daima!