Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Na ndoa ndoano huu msemo nani alianzisha,,,, maana kila mtu anatafsisi kivyake , hata yule aliye na makosa kwenye ndoa utamsikia eti "ndoa ndoano"
Glad to see you here!! Naona timu yangu niliyokuwa naisubiria imeanza kuwasili taratibu, japo nina wasiwasi kuna mmoja atadisappear soon!!! Dah.....sijui wengine watakuja saa ngapi vile..