Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Mkuu niseme nashukuru sana sana sana tena sana kwa ushauri wako...
Natamani hata nikupe namba ili uweze kunifanyia solution kwa hili jambo...

Kuna mda nilikaza week nzima bila kumchek ila cha ajabu na yeye akawa kimya hana habari na mimi...

Sasa hvi nataka nikitoka nitoke mazima yaani mazima sitaki kurudi nyuma na najua huyu kwa sasa anajua kuwa kwake sichomou sasa nataka nimshangaze kama muhindi anavoshangaza watu...

Nataka niwe kama Natafuta Ajira tuu nafata principal zote
 
Sa si anakusaidia masuala ya Kila mara uko wapi we huoni kero anyway nitakupa mbinu ya kawaida kabisa
"Siku akija piga mashine hadi godoro iloe jasho" uone kama huta control hayo mahusiano
Mmmh mkuu kumbe ishu ni mashine.. unataka kusema nikimpa show huyu hatosumbua
 
Hapana Fundi, sijatukana. Najaribu kukumbusha tu raha ya kuwa mwanaume na ukaamua kuitumia hiyo nafasi ya kuumbwa mwanaume.
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
 
Mkuu ananiendesha sana huyu mtu kwa sasa yupo mkoa...
Na kiukweli sijawahi ku mla ila sasa nina mpango huo nataka nimkamie alafu ndo nianze kuzingua na mimi..

Baada ya hapo nitasambaza upendo wa namba kwa wenzangu wote
Ile week ya kwanza ya mahusiano ndio ulitakiwa umgonge,
 

Utaelewa vizuri siku una watoto naye 2 na she doesn’t care, achana naye, Kama ujaoa analeta stress hizo, imagine una watoto naye 2 na ndoa ya Miaka 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…