Mpaka sasa najiuliza why she doesn’t care

Hakutaki mpotezee au kama huwezi tafuta pisi kali kuliko yeye hakikisha ameijua, hata km ni kwa kuikodi tu umuonyeshe kuwa na wewe unao uwezo wa kumiliki demu mkali kumliko, atajileta kiulaini sana
 
Ushauri huu unawafaa zaidi vijana (wavulana) hasa ambao hawana majukumu wala hawapo busy katika utafutaji.
 
Shtuka kaka hutakiwi hapo, she has checked out emotionaly
 
Wakuu habari za humu ndani...

za why she don't care... mwa washauri hapa...

Why she don't care,
najitoa sana kwake lakini she don't care...
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ She turn me into play boy soon as possible...
She doesn't care,they don't care, educate yourself on the issue of don't and doesn't,they and she/he or it.
 
kwa uandishi huu yupo sahihi, kuwa mwanaume bro acha kulialia
 
=Why she doesn't care,

kwani lazima utumie lugha usiyoijuwa?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…