CCM mpaka sasa imepoteza majimbo 3 baada ya waliokuwa wabunge wa majimbo hayo kuhamia upinzani. Majimbo hayo ni:Monduli,Kahama na Segerea
Acha uongo Segerea hatujapoteza mahanga sio segerea kwanza alishapigwa chini na chama kwa hiyo hakuna kupoteza, hilo hata chadema wanajua ndio maana hakuna shamrashamra za kumpokea kama zilivyofanyika kwa Lembeli na Bulaya, huyu ni takataka maji ya chooni hayatakati hata kwa lolote, pole zake Caro aliyemuona mwanaume kidume
Ccm usikoment hapa hatutaki CCM kuongea chochote mana Ma ccm ni sawa na shetani wezi wakubwa
Acha uongo Segerea hatujapoteza mahanga sio segerea kwanza alishapigwa chini na chama kwa hiyo hakuna kupoteza, hilo hata chadema wanajua ndio maana hakuna shamrashamra za kumpokea kama zilivyofanyika kwa Lembeli na Bulaya, huyu ni takataka maji ya chooni hayatakati hata kwa lolote, pole zake Caro aliyemuona mwanaume kidume
CCM mpaka sasa imepoteza majimbo 3 baada ya waliokuwa wabunge wa majimbo hayo kuhamia upinzani. Majimbo hayo ni:Monduli,Kahama na Segerea
Unapomtukana mteule wa Rais (Naibu Waziri) usisahau kuwa umemtukana na Rais mwenyewe!!!! Tafakari na kisha chukua hatua!Acha uongo Segerea hatujapoteza mahanga sio segerea kwanza alishapigwa chini na chama kwa hiyo hakuna kupoteza, hilo hata chadema wanajua ndio maana hakuna shamrashamra za kumpokea kama zilivyofanyika kwa Lembeli na Bulaya, huyu ni takataka maji ya chooni hayatakati hata kwa lolote, pole zake Caro aliyemuona mwanaume kidume
Chadema dampo la CCM