GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,709
- 109,146
Katika hali isiyo ya kawaida kabisa na inayoonyesha kuwa Wazungu siyo Wanafiki na huwa hawapendi Kukaa na vitu mioyoni mwao ( kuwa na Visununu ) hatimaye Mtu wa karibu kabisa na Rais Trump wa Marekani na ambaye anamjua ' Kindakindaki ' ametoboa Siri ya Chuki na Ubaguzi wa Rais huyo kwa Waafrika.
Bwana Michae Cohen ambaye alishawahi kuwa Mwanasheria Binafsi na Mkuu wake wa ' Fitna ' amedai ya kwamba kipindi alichokuwa karibu Kiutendaji na Rais Trump alikuwa kila mara akimsikia akitamka maneno ya ' Kibaguzi ' dhidi ya Waafrika japo Yeye ( Cohen ) alikuwa akijitahidi Kumsihi asiwachukie hivyo Waafrika.
Bwana Cohen anasema ya kwamba kuna Siku moja walikuwa wamekaa na Rais Trump mahala kisha akawaona Waafrika wakipigapiga Kelele zao huku wakimuunga mkono Mgombea mwingine ndipo akamsikia Rais Trump akisema namnukuu..." African Americans ( Blacks ) are too Stupid to Vote for me "... ( Mnaojua Kiswahili mtatutafsiria hapa Sisi Mangumbaru wa Lugha tuelewe )
Haikuishia tu hapa Bwana Cohen akaendelea tena kusema ya kwamba hata baada ya kutokea Kifo cha Mkombozi wa Uhuru wa Afrika Kusini Hayati Mzee Nelson Mandela alimsikia Rais Trump akisema namnukuu..." Name one Country run by a Black person that is not a Shit Hole "... ( kama kawaida mnaojua vyema Kiswahili mtatupa tafsiri Sisi Mangumbaru wa Lugha tumuelewe )
Mwisho kabisa Bwana Cohen anasema ndicho Kilimuuma na hadi leo Kinamsikitisha ni pale ambapo Yeye na Rais Trump walikuwa njiani Mji wa Chicago sehemu ambayo ilikuwa ni ya ' Duni / Kifukara ' na ghafla wakawaona Waafrika pale na akaanza kumwambia Rais Trump kwamba kama akiwa Rais basi ajitahidi kuwabadilishia maisha yao na jibu la Rais Trump kwa Cohen lilikuwa kama lifuatalo namnukuu...." That's the only place where Blacks could live ".... ( bado nasisitiza naomba wale Wabobezi wa Kiswahili watupe Mangumbaru wa Lugha tafsiri ili nasi tuelewe )
Kinachonifarahisha tu ni kwamba ni kweli Rais Trump wa Marekani anatubagua, hatupendi na anatunanga Waafrika kila uchao / siku lakini hapo hapo bado Serikali zetu za Kiafrika zinatembeza ' Bakuli ' ili azisaidie na bado hapo hapo tena ukienda pale Ubalozini unakutana na ' Njemba ' kibao za Kiswahili zinahangaika kutafuta VIZA za kwenda huko.
Shikamoo Rais wa Marekani Donald Trump.
Source ya taarifa : CCN na Vanity Fair Publisher
Nawasilisha.
Bwana Michae Cohen ambaye alishawahi kuwa Mwanasheria Binafsi na Mkuu wake wa ' Fitna ' amedai ya kwamba kipindi alichokuwa karibu Kiutendaji na Rais Trump alikuwa kila mara akimsikia akitamka maneno ya ' Kibaguzi ' dhidi ya Waafrika japo Yeye ( Cohen ) alikuwa akijitahidi Kumsihi asiwachukie hivyo Waafrika.
Bwana Cohen anasema ya kwamba kuna Siku moja walikuwa wamekaa na Rais Trump mahala kisha akawaona Waafrika wakipigapiga Kelele zao huku wakimuunga mkono Mgombea mwingine ndipo akamsikia Rais Trump akisema namnukuu..." African Americans ( Blacks ) are too Stupid to Vote for me "... ( Mnaojua Kiswahili mtatutafsiria hapa Sisi Mangumbaru wa Lugha tuelewe )
Haikuishia tu hapa Bwana Cohen akaendelea tena kusema ya kwamba hata baada ya kutokea Kifo cha Mkombozi wa Uhuru wa Afrika Kusini Hayati Mzee Nelson Mandela alimsikia Rais Trump akisema namnukuu..." Name one Country run by a Black person that is not a Shit Hole "... ( kama kawaida mnaojua vyema Kiswahili mtatupa tafsiri Sisi Mangumbaru wa Lugha tumuelewe )
Mwisho kabisa Bwana Cohen anasema ndicho Kilimuuma na hadi leo Kinamsikitisha ni pale ambapo Yeye na Rais Trump walikuwa njiani Mji wa Chicago sehemu ambayo ilikuwa ni ya ' Duni / Kifukara ' na ghafla wakawaona Waafrika pale na akaanza kumwambia Rais Trump kwamba kama akiwa Rais basi ajitahidi kuwabadilishia maisha yao na jibu la Rais Trump kwa Cohen lilikuwa kama lifuatalo namnukuu...." That's the only place where Blacks could live ".... ( bado nasisitiza naomba wale Wabobezi wa Kiswahili watupe Mangumbaru wa Lugha tafsiri ili nasi tuelewe )
Kinachonifarahisha tu ni kwamba ni kweli Rais Trump wa Marekani anatubagua, hatupendi na anatunanga Waafrika kila uchao / siku lakini hapo hapo bado Serikali zetu za Kiafrika zinatembeza ' Bakuli ' ili azisaidie na bado hapo hapo tena ukienda pale Ubalozini unakutana na ' Njemba ' kibao za Kiswahili zinahangaika kutafuta VIZA za kwenda huko.
Shikamoo Rais wa Marekani Donald Trump.
Source ya taarifa : CCN na Vanity Fair Publisher
Nawasilisha.