Mpaka miaka 45 huna vitu hivi jua wewe umekuja kusindikiza wenzio duniani

Hapa hatuzungumzii kusoma au kutosoma ukikosa hivi vitu kimoja wapo mpaka miaka 45 au chini ya 60 wewe msindikizaji tu

1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA

2-- HUJAOA

Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika ( miaka 16-25)
Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako

3--HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)

mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli,
Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri

4--HUNA MTOTO

Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee)
Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli

5---HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU

Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako

6---UNA MADENI MENGI

Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari

7---TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE
Waafrika ndio maana mnakufa mapema. Kumbuka kuwa 'Not everything is for everyone'
 
Hapa hatuzungumzii kusoma au kutosoma ukikosa hivi vitu kimoja wapo mpaka miaka 45 au chini ya 60 wewe msindikizaji tu

1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA

2-- HUJAOA

Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika ( miaka 16-25)
Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako

3--HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)

mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli,
Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri

4--HUNA MTOTO

Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee)
Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli

5---HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU

Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako

6---UNA MADENI MENGI

Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari

7---TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE
Mim bado sijafikisha 25 lkn namuomba sana Mungu azidi kunipa nguvu hadi nifike 30 niwe na kijumba hata kama ni chumba sebule, niwe na biashara zangu tatu za kuniingizia elf 50 hadi laki kila mwisho wa wiki., Niwe na Rav4 yangu ya kunizungusha mjini na kumpeleka watoto wangu shule.

Eeh Mungu nipe nguvu ya kuyashinda yote na kutimiza malengo yangu
 
Kuna mmoja hapa mtaani kwetu mimi huwa namuita mzungu,hajawah kuwa na mtoto ingawaje aliwahi kuoa mwanamke mwenye watoto,alivyostaafu akaja mtaani akajenga nyumba kubwa tu nzur anaishi mwenyewe tu na yeye anatembeza bakora hatari tena kwa madem wadogo,
Nami nataka nikigonga miaka hiyo niwe kama huyu mzee ni mwendo wa kula mbususu za mabinti wadogo wadogo
 
Hapa hatuzungumzii kusoma au kutosoma ukikosa hivi vitu kimoja wapo mpaka miaka 45 au chini ya 60 wewe msindikizaji tu

1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA

2-- HUJAOA

Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika ( miaka 16-25)
Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako

3--HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)

mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli,
Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri

4--HUNA MTOTO

Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee)
Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli

5---HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU

Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako

6---UNA MADENI MENGI

Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari

7---TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE
Kuna mjinga mmoja alikuwa na akili za kijinga kama hizi zako, na alijaa majigambo hakujuwa maisha ni nini, kuna masela mtaani aliwachukulia powa tu akiamini amemaliza kila kitu kimaisha.

Basi ikatokea wizi kazini kwake akawekwa ndani, Polisi, mahakamani dhamana ikafungwa akapelekwa gereza la Keko.

Kule Keko gerezani kuna kachalii kanamiliki kimvuli ukikaa kwenye kimvuli chake basi uwe mjelajela, basi yule mjivuni Boss Mkurugenzi kitambo manager akakaa kwenye kimvuli cha yule mjelajela, jamaa alivyokuja kumkuta amekaa kwenye kimvuli chake alimtandika makofi ya haja na ni bwana Mdogo tu ndio akatokea kijana wa mtaani kumuokoa yule mjivuni kumbe wanakaa mtaa mmoja uswahilini na huwa hana time na masela wa mtaani.

Basi Salama yake ni yule kijana kuchukuwa na kumtambulisha na kumuhamishia selo yake na tangu ziko hiyo yule mjivuni aliishi maisha ya jela Salama kabisa na kupata mahitaji yote muhimu mpaka siku anatoka baada ya dhamana yake kufunguliwa.

Tangu akivyotoka aliyatazama maisha kwa mtazamo mwingine kabisa.

Rudia kusoma hicho nilichoandika kitakusaidia maishani, dunia ni nzito sana.
 
Hapa hatuzungumzii kusoma au kutosoma ukikosa hivi vitu kimoja wapo mpaka miaka 45 au chini ya 60 wewe msindikizaji tu

1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA

2-- HUJAOA

Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika ( miaka 16-25)
Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako

3--HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)

mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli,
Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri

4--HUNA MTOTO

Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee)
Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli

5---HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU

Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako

6---UNA MADENI MENGI

Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari

7---TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE
8.MWANA CCM
 
Elon Musk made the revelation in an interview with TED. Billionaire Elon Musk - the richest person in the world - has said that he doesn't own a house right now and sleeps in friends' spare bedrooms. The revelation was made by Musk in a recent interview with TED's
 
Elon Musk made the revelation in an interview with TED. Billionaire Elon Musk - the richest person in the world - has said that he doesn't own a house right now and sleeps in friends' spare bedrooms. The revelation was made by Musk in a recent interview with TED's
Huyo anatafuta kiki tu, kwani hana hela za kununua nyumba? au unaweza kukuta ni masharti kapewa kwenye vyama vyao vya siri huko.
 
Kuna mjinga mmoja alikuwa na akili za kijinga kama hizi zako, na alijaa majigambo hakujuwa maisha ni nini, kuna masela mtaani aliwachukulia powa tu akiamini amemaliza kila kitu kimaisha.

Basi ikatokea wizi kazini kwake akawekwa ndani, Polisi, mahakamani dhamana ikafungwa akapelekwa gereza la Keko.

Kule Keko gerezani kuna kachalii kanamiliki kimvuli ukikaa kwenye kimvuli chake basi uwe mjelajela, basi yule mjivuni Boss Mkurugenzi kitambo manager akakaa kwenye kimvuli cha yule mjelajela, jamaa alivyokuja kumkuta amekaa kwenye kimvuli chake alimtandika makofi ya haja na ni bwana Mdogo tu ndio akatokea kijana wa mtaani kumuokoa yule mjivuni kumbe wanakaa mtaa mmoja uswahilini na huwa hana time na masela wa mtaani.

Basi Salama yake ni yule kijana kuchukuwa na kumtambulisha na kumuhamishia selo yake na tangu ziko hiyo yule mjivuni aliishi maisha ya jela Salama kabisa na kupata mahitaji yote muhimu mpaka siku anatoka baada ya dhamana yake kufunguliwa.

Tangu akivyotoka aliyatazama maisha kwa mtazamo mwingine kabisa.

Rudia kusoma hicho nilichoandika kitakusaidia maishani, dunia ni nzito sana.
Funzo kubwa sana ilo
 
Back
Top Bottom