technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
1: Alianza Ole Nasha kuzuia ngorongoro isiuzwe na wamasai kuuawa akapotezwa wakaibuka wengine
2: Akaja Job Ndugai akasema nchi itapigwa mnada akapotezwa
3: Akaja Ally Kibao akagoma kununuliwa na Abdul Mtoto wa Samia akapotezwa
4: Akaja Soka akakemea utekaji na mauaji akapotezwa
5: Akaja mdude akakemea uhuni na utekaji akapotezwa.
6: Polepole akaongea ukweli kuhusu nchi akapotezwa mpaka leo hajawai kurudi
7: Heche akapiga kelele akakamatwa na kuwekwa ndani
8: Akaja Gwajima akakemea utekaji akasumbuliwa Ila imeshindikana
9: Akaja Warioba akakemea uhuni utekaji na upuuzi wa Serikali akawekwa house of arrest lakini kashinda Sasa
10: Mwamba Tundu Lissu akawatoa tongo tongo Watanzania akapewa kesi ya uhaini lakini kesi imebuma imegonga mwamba
Hamjashutuka tu Wahuni Sasa wakina Mange, Ponda, Assad, mwandamo, Mwanaharakati mzalendo, Sativa, Maria wanaonekana kuchoka lakini kila kukicha wanaibuka watu wapya
Je, mtateka na kuua watu wangapi? Hamuoni mmefika mwisho Sasa hivi mpaka mabibi na mababu wa miaka 90 wanawakosoa, watoto wanawakosoa!
Mnafikiri mtawanyamazisha watu Tena walio onja democrasia kwa miaka 20 toka mwaka 1995 mpaka 2015?
Nawaambia hamtakaa mfanikiwe wanamtandao hii game mshapoteza
Mpaka mawe yataongea mpaka siku mtakapofurushwa .
Anguko lenu laja na halipo mbali.
2: Akaja Job Ndugai akasema nchi itapigwa mnada akapotezwa
3: Akaja Ally Kibao akagoma kununuliwa na Abdul Mtoto wa Samia akapotezwa
4: Akaja Soka akakemea utekaji na mauaji akapotezwa
5: Akaja mdude akakemea uhuni na utekaji akapotezwa.
6: Polepole akaongea ukweli kuhusu nchi akapotezwa mpaka leo hajawai kurudi
7: Heche akapiga kelele akakamatwa na kuwekwa ndani
8: Akaja Gwajima akakemea utekaji akasumbuliwa Ila imeshindikana
9: Akaja Warioba akakemea uhuni utekaji na upuuzi wa Serikali akawekwa house of arrest lakini kashinda Sasa
10: Mwamba Tundu Lissu akawatoa tongo tongo Watanzania akapewa kesi ya uhaini lakini kesi imebuma imegonga mwamba
Hamjashutuka tu Wahuni Sasa wakina Mange, Ponda, Assad, mwandamo, Mwanaharakati mzalendo, Sativa, Maria wanaonekana kuchoka lakini kila kukicha wanaibuka watu wapya
Je, mtateka na kuua watu wangapi? Hamuoni mmefika mwisho Sasa hivi mpaka mabibi na mababu wa miaka 90 wanawakosoa, watoto wanawakosoa!
Mnafikiri mtawanyamazisha watu Tena walio onja democrasia kwa miaka 20 toka mwaka 1995 mpaka 2015?
Nawaambia hamtakaa mfanikiwe wanamtandao hii game mshapoteza
Mpaka mawe yataongea mpaka siku mtakapofurushwa .
Anguko lenu laja na halipo mbali.