Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,195
- 3,007
Reuters wanasema Russia hajawai pata hasara kubwa Sana ya vita, since WW2 Kama hasara walizopata Ukrein.
Repoti zinadai hakuna kitu kilimuuma Sana Putin Kama Kuzamishwa kwa meli kubwa ya Russia Moskva. Hii meli ya kivita ilimuuma Sana Putin.
Meli iyo yenye thamani ya 1.7t Tsh. Ilizamishwa na majeshi ya Ukrein kwa kutumia drones kutoka uturuki na Ant-ship missile ya Neptune.
Hadi leo wachambuzi wanajiuliza ufanisi wa S300, maana zilikuwepo kwenye meli lakini meli ilienda na maji.
Moskova Ni biggest loss kwa Russia katika Karne ya 21
Repoti zinadai hakuna kitu kilimuuma Sana Putin Kama Kuzamishwa kwa meli kubwa ya Russia Moskva. Hii meli ya kivita ilimuuma Sana Putin.
Meli iyo yenye thamani ya 1.7t Tsh. Ilizamishwa na majeshi ya Ukrein kwa kutumia drones kutoka uturuki na Ant-ship missile ya Neptune.
Hadi leo wachambuzi wanajiuliza ufanisi wa S300, maana zilikuwepo kwenye meli lakini meli ilienda na maji.
Moskova Ni biggest loss kwa Russia katika Karne ya 21