Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Mpaka iondolewe ndio wanatulia

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,377
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Yaani kila unaekutana nae hakuna Seal. Why?

Hivi ni kwanini?
 
Ulitumia methodology gan ktk utafiti wako,sample space ilikuaje?
 
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Hivi ni kwanini???.

unajaribu ku generalize kutokana na particular
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene
 
Duh mm pia yupo moja ameniganda kinyama anadai anataka ndoa af mwenzake ndo ata sina mpango, sijui nifyatuke vp yan.
 
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Hivi ni kwanini???.

Hapa minaona kama umeponda jiwe gizani kabla hawaja amka.
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

Kwa mara ya kwanza Khantwe umeongea point moja nzito sana
kama unahutubia UN kikao cha baraza la usalama....
 
Last edited by a moderator:
Huu utafiti usio rasmi uliufanyia wapi na kwa njia gani

Utafit una asilimia kubwa ukweli na kauwongo ndani yake

Mtu akifanywa kwa mara ya kwanza kale kakaondolewa hao wanaume waliowafanyia hivo hua hawajatuliaga na kivyovyote vile inampelekea mtu kuachana na pia wanawake wenyewe hua nao akishaujua utam unakuaje atataka ajue na vingine ni wachache hudumu nao ila asilimia kubwa mtu huo au kuolewa na yule ambae s yy alimfungua.
 
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Yaani kila unaekutana nae hakuna Seal. Why?.

Hivi ni kwanini???.

Hiyo ndo reality wengi wao hufuata swagg na vitu kama hivyo matokeo yake wakivipeleka huko vinaburuzwaaaa, wakishtuka kua wametumika ndo wanaanza tafuta goodboys wakutulia nao.....
 
Machek bob Ndo wanaowavutia zaid warembo hasa ujanani, na ndo uwa wanajiamini had kuweza kuwatoa bikra, magud boy Weng ni kama washamba flani ivi so kwa kipindi cha ujana wasichana uwa hawawapend kabisa
 
Huu utafiti usio rasmi uliufanyia wapi na kwa njia gani

Utafit una asilimia kubwa ukweli na kauwongo ndani yake

Mtu akifanywa kwa mara ya kwanza kale kakaondolewa hao wanaume waliowafanyia hivo hua hawajatuliaga na kivyovyote vile inampelekea mtu kuachana na pia wanawake wenyewe hua nao akishaujua utam unakuaje atataka ajue na vingine ni wachache hudumu nao ila asilimia kubwa mtu huo au kuolewa na yule ambae s yy alimfungua.

Mrs...... sema hakyamungu.
 
Back
Top Bottom