Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Kumsaidia Askofu au?
ndivyo unavyotaka wewe? askofu akitoa msaada na wewe uendelee na msaada? au umsaidie kijana moja kwa moja....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumsaidia Askofu au?
hahhaahhha jaman kwan kukosea asi tumeumbiwa sisi bnadamu au?
itabid unisamehe tu na kuniuliza y umemtaja john ntakujibu cz mpak nimvutie hisia ndo acceleration inakuja..so its ma apetite wen m wth u..kwa maelezo hayo utanpga tu bado?
ahh basi wewe utakuwa aunpend........!
Nimetolea mfano anjelina ila kiukweli nawezakukumbuka ambako nilishapitia ndo mambo yanakuwa bambam!kwake mhh nichakwanza chakukata kiu!
Mimi ninaomba msaada maana mimi nikiwa na mpenzi wangu napiga cha kwanza vinavyofuata mpaka niwaze anjelina!!ndo ngoma inarudi katka track!ila nikiwa na wengine nje mama yangu hata mtoto akifungiwa bembea anabembea bila tabu sasa nini mbadala wake??Msaada!:wink2:
Hiyo itaendelea kukusumbua hadi kwenye ndoa yako; na ni matunda ya kujiingiza katika ngono kabla ya kuoa/ kuolewa na ukiendeleza tabia ya kuwa na 'wapenzi' wengi hutaweza kudumu kwenye ndoa yako sababu tu ya first experience.
Msaada wa uhakika ni kutubu na kuacha kabisa kujihusisha na ngono kabla ya ndoa, hiyo ni kwa uslama wa ndoa yako ikiwa una mpango wa kuoa.
Huu ni uzinzi ndo unakusumbua
tena ni uasherati,shame upon u,kwanini unakua na mpenzi zaidi ya m1 au hujaridhika na mpenzi wako? kama ndivyo then mtafute umpendae kwa dhati utulie nae
Tafadhali, fuata hatua zifuatazo:Mimi ninaomba msaada maana mimi nikiwa na mpenzi wangu napiga cha kwanza vinavyofuata mpaka niwaze anjelina!!ndo ngoma inarudi katka track!ila nikiwa na wengine nje mama yangu hata mtoto akifungiwa bembea anabembea bila tabu sasa nini mbadala wake??Msaada!:wink2:
Tafadhali, fuata hatua zifuatazo:
- Jiunge na IPC haraka sana. Hapa utapata ujasiri na siri ya ukweli katika kukuweka huru....!
- Kasimulie haya yote kwa mpenzio, na uwe tayari kushirikiana naye kutatua tatizo hili...!
- Mwambie mpenzio awe makini na akuchunguze wakati mnacheza sarakasi zenu, hasa kwa round ya 2, 3, 4.....! Then, akikushtukia kuwa mawazo yako yanahama AKUPIGE KOFI kali kidogo...! Hapa mawazo yatarudi kwake, na muda wote utakuwa unamuwaza yeye hadi mwisho...!
inaonekana ni hivyo, unaweza kumpa huo msaada japo vifike vi 5?
Hivyo ndivyo unavyomshauri Kuhani Mkuu?
wewe unaweza kumsaidia?
Kumsaidia Askofu au?
ndivyo unavyotaka wewe? askofu akitoa msaada na wewe uendelee na msaada? au umsaidie kijana moja kwa moja....
Mimi ninaomba msaada maana mimi nikiwa na mpenzi wangu napiga cha kwanza vinavyofuata mpaka niwaze anjelina!!ndo ngoma inarudi katka track!ila nikiwa na wengine nje mama yangu hata mtoto akifungiwa bembea anabembea bila tabu sasa nini mbadala wake??Msaada!:wink2:
Ujumbe umejitosheleza wala haitaji maswali na mdahaloHuu ni uzinzi ndo unakusumbua