BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
- Thread starter
- #21
Wewe unafikiri Nyerere alipotaifisha viwanda vya Wahindi na Wazungu na kumtoa mtu kwenye nyumba ya nyasi na kwenda kumfanya General Manager kwa mshahara kiduchu (SCOPO) alifanya vizuri? Kama ni ndiyo hivyo viwanda leo hii viko wapi? Huwezi kutenganisha maendeleo ya Taasisi yeyote na Watu wanaoisimamia[/QUOTE
Nakushauri uwe unachangia tu thread za jokes.