Ila kiswahili kiko perfect na italia.....
Ndivyo wenyewe wanavyojiita...na sio italy...
-ia ni perfect ending ya majina ya nchi nyingi, na ina latin roots - not surprisingly, latin having origins in the modern day Italy, or the other way around- kwa maana ya "sehemu ya" which is natural kwa jina la nchi under that rule.Jina la kweli katika Kiswahili linaanza na U-, as in Ureno kama ilivyosemwa hapo juu, Uingereza, Ujerumani, Uchina, Unyamwezi, Ukaguru, Usukuma, Uzaramo, Usukuma etc. -ia ni kutohoa kutoka kilatini zaidi ya kiswahili cha kweli.
Kuanzia non state place names kama Patagonia, Manchuria, Transylvania, Pennsilvania, Bavaria, Bohemia, Azania, Brittannia etc mpaka states kama Mauritania, Somalia, Nigeria, Liberia, Yugoslavia, Bolivia etc.
Kuanzia "Australia" (latin "australis", southern, hence australia, land of the south) mpaka countless of other ia ending place names, including "Tanzania" which would mean land of Tan and Zan, as in Tanganyika and Zanzibar, by the same token ( although some tie Azania, the ancient name for Sub Saharan Africa with that name, no reason why it shouldn't be both IMHO ).
Hapo Kiswahili kimetohoa kutoka kilatini tu.