Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,934
kuna uzi alileta anataka mtu amsaidie sijui aongee na marehemu😆😆..ndo hapo nikasema kumbe wajinga bado wanaexisistYaani mtu akudhulumu na wewe ujifungie ndani na kusali? Hata Mungu hatasikiliza sala zako. Anyways, mwanzisha thread anaonekana naye ni walewal tu kwani ametapeliwa halafu anataka kutafuta mtu wa kumtapeli zaidi.
uzi wako wakuongea na marehemu..rudi usome mleUliniambia wapi
Achana nao hicho unachotafuta kitakutesa sana baadae. Bora ungeomba ushaur namna ya kufanya ili wakurudishie hela yako sio kuloganaHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
ndo maana umetapeliwa..ukomeWewe kweli kichupi
mwambie mamakoKabadilishe ped
kakojoe ulale maskini wa akili weweSibishani na wanaoblid kila mwezi
unaomba mganga ili nae akakutapeli mil 4 cash zingine right?Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Malilo huyu rafiki yake Yusuf shaa au huyo ni malilo mwingine?Njoo sumbawanga nikupeleke kwa MALILO MWANA WA MALILO MJUKUU MWANA MALUNDI hope utapata hitaji lako
mwehu huyounaomba mganga ili nae akakutapeli mil 4 cash zingine right?
anataka akapigwe cash tena bila kuandikishanamwehu huyo
Nenda tengeru pale arusha ulizia mwamba anaitwa kuri. Malipo nazani ata 10k inatosha ni maarufu sana boda wa tengeru na maeneo jirani wanamjua.Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni