Thanx brother.Mkuu......
Huyo mwanamke atakusumbua hata ukirudiana nae cha msingi mchukue mwanao umlee na kumpa malezi bora yanayo stahili kupewa kama haki yake,
Mtunze na umlee vizuri,
Kwa upande wa huyo mwanamke ( amina ) nakushauri achana nae endelea na maisha yako naamini mwenyezi mungu atakupigania na kukuwezesha utafanikiwa,
Usikate tamaa endelea kupambana ili wewe na mwanao muishi vizuri.
Kuhusu huyo mwanamke muache aendelee na maisha yake.
Na usiwe mdhaifu kukubali kusamehe makosa ambayo ni makusudi, lazima uoneshe msimamo wako kama mwanaume rijali na mwanaume anayejitambua kumbuka mwanaume anaonekana kichwa katika familia na kuonekana kama msaada kwa wana jamii ukiwa huna msimamo na kujielewa utayumbishwa na kila mwanamke kwa udhaifu huo.
Muombe mungu akusaidie uendelee vyema na maisha yako na mwanao, huyo mwanamke muache hapo itakuwa salama kwako.
Hebu nisimulie.Shairi au?
yy mwenyewe hapo china kasema ni ya kweli na sio story ya uongoHahahahaaa shigongo anakuhitaji siyo kwa simulizi iyo,,,,,,,,,,,,,,mpaka nmeshindwa kuelewa ni kweli au umemkop shigongo,,,,,,,,[HASHTAG]#napita[/HASHTAG] tuu.