Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,234
- 12,811
Shikaooooooni wakubwa na wadogo !!!!!
Nakaa nawaza nini tatzo ??
Sipendi !!! Moyo wa kupenda upo neiiii yani kama ni gari alternator haifanyi kazi so betri inakufa muda wowote tu gari ikienda mwendo flani...
Yani sipendi kwa muda mrefu!!!! Inaweza tokea nikakupenda but it won't take so long moyo unakufa ghafla !! Najiuliza ni kiki mzalendo?? Kiruuuu ngachoka mie...
Mshaurini huyu rafiki yenu.....
Nyie mnapendaje!!!!! Yani natamani yale mahaba niue mahaba we ni wangu kufa kuzikana....
Umri unakimbia speed ya light !!!!!!!!
Nakaa nawaza nini tatzo ??
Sipendi !!! Moyo wa kupenda upo neiiii yani kama ni gari alternator haifanyi kazi so betri inakufa muda wowote tu gari ikienda mwendo flani...
Yani sipendi kwa muda mrefu!!!! Inaweza tokea nikakupenda but it won't take so long moyo unakufa ghafla !! Najiuliza ni kiki mzalendo?? Kiruuuu ngachoka mie...
Mshaurini huyu rafiki yenu.....
Nyie mnapendaje!!!!! Yani natamani yale mahaba niue mahaba we ni wangu kufa kuzikana....
Umri unakimbia speed ya light !!!!!!!!