Moyo unauma sana

Moyo unauma sana

Joined
Jan 22, 2018
Posts
64
Reaction score
63
Wadau habari za saa hizi. Acha niende moja kwa moja kwenye mada
Mwezi wa 12/2018 nilisafiri kwenda Dar nikamaliza wiki 2 nikiwa huko .nilivyo Rudi tu huku kwetu nikakuta kwa jirani yetu kuna binti mrembo Sana ambaye alikuwa Ni mgeni pale, Kama tulivyo mabaharia ikabidi nijisogeze kwa binti kumuambia mawili matatu .
Nilimpa maneno binti akalainika Mambo yakaenda sawa .
Ilinichukua siku 3 nikaomba papuchi nikapewa nikala mzigo .
Baada ya kumaliza kula mzigo ikabidi nianze kumuhuiliza kuhusu background ya maisha yake. Binti alikuwa wazi kuniambia Mambo mengi Sana ya maisha moja ikiwa alizaliwa akiwa peke yake kwenye familia yake baba na Mama yake walifariki kwenye ajali ya gari, alibahatika kuolewa na Sasa Yuko kwenye ndoa miaka 7 ila hajawai kushika ujauzito hivo imesababisha vurugu nyingi saana mpaka imefikia Mme wake amemfukuza ,hivi ameomba hifadhi hapo kwa jirani yangu ila Ana mpango wa kwenda kwa shangazi yake morogoro nimsaidie .Basi nilimuonea huruma Sana . Basi Basi nilimuonea huruma na ikanibidi nimuakikishie kuwa nitamchukua awe mke wangu wa pili na nilimuambia kuwa atatibiwa mpaka atapona .niliendelea kula papuchi Kama kawaida nilikula papuchi tarehe 24, 26,28 na 30 nilikuwa napanga nipige mkesha kwenye sherehe za mwaka mpya mme wake alikuja na ndugu zake wakamchukua na kumrudisha nyumbani niliona Kama masiara aliponiambia kwani nilikua nimeanza kumpenda huyo binti Sana.
Basi maisha yakawa yanaendelea ilipita Kama siku 4 akanitumia messeji kuwa anaumwa na akaniomba nimtumie pesa anunue dawa .nilienda kwa waka nikamtumia 20,000 .ilipofika mwishoni kwenye mwezi wa 1 akaniambi kuwa amepitisha tarehe ya hedhi hivo anahisi kuwa na ujauzito .nilimualika nyumbani ili kuweza kupima nilinunua vipimo viwili ,alipofika tu nilianza shuguli ya kupima na majibu yakawa POSITIVE .Nikajaribu kumshawishi atoke kwa jamaa ili niweze kumchukua akaniambia kuwa atajifikiria ili anipe majibu sahii.
Alipofika nyumbani kwake akanitumia meseji kuwa hayuko tayari kuvunja ndoa yake ila tutakuwa tunawasiliana na maendeleo ya mimba na mtoto akizaliwa atakuwa ananijulisha. Sasa juzi tarehe 02/10/2016 na saa sita mchana akanitumia picha ya mtoto akiambatanisha na ujumbe kuwa amejifungua salama mtoto wakiume. Sasa nikamuhuliza mtoto amepewa mjina gani ,akanijibu kuwa baba yake amempa jina la Prince mateso.nikamuhuliza baba yake Nani ? Aka kaa kimya baadaye akanijibu kuwa japokuwa ile ni damu yangu lakini natakiwa kujifanya kuwa Kama simfahamu yule mtoto.

Sasa wadau nahisi kuchanganyikiwa ukizingatia kuwa huyo ndiye mtoto wangu wa Kwanza kabisa. Leo ndiyo ameruhusiwa kutoka hospital nimemuona akiwa na Mme wake akiwa amembeba mtoto wangu Nilisikia vibaya kupoteza Damu yangu. NAITAJI USHAURI maana nataka kusambaratisha ile NDOA.
 
Namna zipo ila inategemea na uhitaji wako na kuhakikisha kweli endapo ni damu yako kabisa!

Kwangu mimi nisivyopenda kupoteza damu yangu, ningeweza kuleta fujo na kusambaratisha hiyo ndoa kabisa, mtoto wangu hawezi kuwa comfort kwa mwanaume mwingine, ili nipate damu yangu, katika maisha haya nathamini sana mtoto, nidhulumu chochote nitakuachia, ila si mtoto wangu.

Niliwahi kuchukua mtoto wa siku 10 tu kutoka kwa mama yake, ili nisipoteze damu yangu, nilimleaje? Hiyo ni story nyingine.

I would do anything!!!
 
Kwa hiyo unataka kusema Harmonize anamtaka mtoto alozaa na Tanasha?

Naona rumors za kuwa Diamond hamimbishi zinaongezeka siku hadi siku.


Unforgetable
 
Sasa juzi tarehe 02/10/2016 ,,,,,,
hiyo tarehe vipi?,2016 si miaka 3 tayari,,
 
Namna zipo ila inategemea na uhitaji wako na kuhakikisha kweli endapo ni damu yako kabisa!

Kwangu mimi nisivyopenda kupoteza damu yangu, ningeweza kuleta fujo na kusambaratisha hiyo ndoa kabisa, mtoto wangu hawezi kuwa comfort kwa mwanaume mwingine, ili nipate damu yangu, katika maisha haya nathamini sana mtoto, nidhulumu chochote nitakuachia, ila si mtoto wangu.

Niliwahi kuchukua mtoto wa siku 10 tu kutoka kwa mama yake, ili nisipoteze damu yangu, nilimleaje? Hiyo ni story nyingine.

I would do anything!!!
Yes wewe ni mwanaume wa mbegu, safi sana
 
Si ulijua kuwa ni mke wa mtu na kwamba angerudi kwa mume wake wakisha yamaliza mambo yao.
Kuwa mpole mkuu vinginevyo utamsababishia huyo mwanamke matatizo na ukizingatia tayari una mke mwingine.
 
Wanaume mna tabu sana asee!
Imagine mume proudly kabisa anaenda kulea mtoto akijua ni wa kwake

Kimsingi ningekuwa ni mimi kama mbwai iwe mbwai,nisingeweza kuangalia mtoto wangu anaenda kulelewa na mwingine wakati mimi nipo...huyo mke angekuwa hataki kuhatarisha ndoa yake asingejihusisha na mwanaume mwingine wakati anajua ana mume

Poleni sana wanaume mnaolea watoto wasio wenu bila kujua
 
Mtoto atakutafuta tu mwenyewe, ila ikitokea mama akafariki mapema bila kumwambia mtoto imekula kwako.
 
Ulienda kulima shambani kwa mtu bila makubaliano....

Huwezi kuvuna chochote japo nikweli umelima mwenyewe ..... ukifanya Fujo

Kifo kinakuhusu....unavunja ndoa ya mtu

Kifungo kinakuhusu....wewe utashikwa ugoni

Tafuta shamba lako, shamba halali.....Lima kwa uhuru kisha msimu wa mavuno...utavuna haki na jasho lako.
 
Back
Top Bottom