James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,187
- 15,535
Hivi id yako ya zamani ilikuwa inaitwaje
pole pia mkuuIt can be lkn tunaweza tofautiana mapokeo.. kwanza pole..
Mwambie aache mambo yakeKuna mtu kashikwa na bangi!
kwa jina la upendo natumai malaika wa upendo atamgusa unaemhusu ujumbe wakoNdugu we acha tu..
kwa ulichoandika hata kama ana moyo wa jiwe ujumbe utamgusa mkuuNa usipomgusa atoke jino moja..
Siri ya mtungi aijuae kata!..
best wishes mkuu😂🙌Raha ya hisia uweze kuzibalansi..😅
Na hapo ndipo ulipoanza kukosea mkuu! Huwezi tafuta totoz huku ukisema kabisa kuwa utamdanganyadanganya..😂Hivi wakuu nami sipati katoto ka kukadanganyadanya humu?