SEHEMU YA 36
Maumivu aliyokuwa ameyapata yalikuwa ni mara tano ya yale ambayo angeyapata mke wake. Aliumia, hakutamani kuona mke wake huyo akiumia kama atakavyoumia, alitamani kuona akiishi maisha ya furaha, yasiyokuwa na maumivu hata kidogo.
Siku ya kwanza ikapita, Theo hakuondoka hospitalini, taarifa zilianza kuzagaa mitandaoni kwamba Violeth alijifungua usiku uliopita lakini hakukuwa na mtu aliyepata taarifa kuwa mtoto mmoja alifariki dunia.
Theo hakutaka kumtaarifu mtu yeyote yule, na hata alipoongea na ndugu zake aliwaambia kwamba alijifungua salama kabisa. Alihitaji kumuona mke wake akifumbua macho na kuzungumza naye, ampe taarifa hiyo ili wajue ni kwa namna gani wangewaambia wananchi.
Siku hiyo ndiyo ambayo Violeth alipoyafumbua macho yake kitandani pale. Alionekana kuchoka mno, kitu cha kwanza kilichokuja kichwani mwake ni watoto wake, alijua alijifungua, alihitaji kuwaona wote wawili.
Akaangalia pembeni, kulikuwa na mtoto mmoja wa kike, lakini upande mwingine hakukuwa na mtoto. Haraka sana Theo akasimama na kumfauata mke wake mahali pale.
“Mume wangu! Nimejifungua....tumepata watoto mapacha mume wangu...wa kiume ataitwa Harry na wa kike ataitwa Rachel...” alisema Violeth kwa sauti ya chini, hakujua kilichotokea, badala ya Theo kumjibu, machozi yakaanza kumtoka hali iliyoanza kumtisha Violeth kitandani pale. |
|
|
Je, nini kitaendelea?
Tukutane siku nyingine.
Sina cha kuwahurumia zaidi ya kuvumilia arosto
Kweli arosto .... acha nikajililie zangu bafuni mieSina cha kuwahurumia zaidi ya kuvumilia arosto
kama ni me huko bafuni unaenda kulia machozi ya simba!Kweli arosto .... acha nikajililie zangu bafuni mie
Naenda kulia mkuu ..hii long waiting sio ya nchi hiikama ni me huko bafuni unaenda kulia machozi ya simba!
Tumwite tartiiibu.. . .... ...Naenda kulia mkuu ..hii long waiting sio ya nchi hii
SEHEMU YA 36
Maumivu aliyokuwa ameyapata yalikuwa ni mara tano ya yale ambayo angeyapata mke wake. Aliumia, hakutamani kuona mke wake huyo akiumia kama atakavyoumia, alitamani kuona akiishi maisha ya furaha, yasiyokuwa na maumivu hata kidogo.
Siku ya kwanza ikapita, Theo hakuondoka hospitalini, taarifa zilianza kuzagaa mitandaoni kwamba Violeth alijifungua usiku uliopita lakini hakukuwa na mtu aliyepata taarifa kuwa mtoto mmoja alifariki dunia.
Theo hakutaka kumtaarifu mtu yeyote yule, na hata alipoongea na ndugu zake aliwaambia kwamba alijifungua salama kabisa. Alihitaji kumuona mke wake akifumbua macho na kuzungumza naye, ampe taarifa hiyo ili wajue ni kwa namna gani wangewaambia wananchi.
Siku hiyo ndiyo ambayo Violeth alipoyafumbua macho yake kitandani pale. Alionekana kuchoka mno, kitu cha kwanza kilichokuja kichwani mwake ni watoto wake, alijua alijifungua, alihitaji kuwaona wote wawili.
Akaangalia pembeni, kulikuwa na mtoto mmoja wa kike, lakini upande mwingine hakukuwa na mtoto. Haraka sana Theo akasimama na kumfauata mke wake mahali pale.
“Mume wangu! Nimejifungua....tumepata watoto mapacha mume wangu...wa kiume ataitwa Harry na wa kike ataitwa Rachel...” alisema Violeth kwa sauti ya chini, hakujua kilichotokea, badala ya Theo kumjibu, machozi yakaanza kumtoka hali iliyoanza kumtisha Violeth kitandani pale. |
|
|
Je, nini kitaendelea?
Tukutane siku nyingine.
Je??
Tumwite tartiiibu.. . .... ...
Atakuja tu...
Maana .... Tevie haongei ila wakati mwingine..
Itakuwa kazongwa ..mambo mengi na usawa huu wa jiwe... ... ngoma nzito...inabidi kujipinda!
Naenda kulia mkuu ..hii long waiting sio ya nchi hii
kama ni me huko bafuni unaenda kulia machozi ya simba!
Toka mwanzo nilitoa taarifa hii ndio arosto yenyewe sasa mvumilie tuKweli arosto .... acha nikajililie zangu bafuni mie