Moyo mpweke huu jamani, si utani

Moyo mpweke huu jamani, si utani

Mp4real

Senior Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
141
Reaction score
149
Niliomba mchumba humu,nikatoa sifa zangu,kuwa ni mwalimu private school,nahitaj mchumba mwaminifu,aliye na kazi yoyote toka arusha tukifahamiana twende kwa wazazi na tufunge ndoa,aliye tayari na kupima ,ajitokeze tu kwa kunipm.
 
Kaka jitahidi basi kuandika vizuri

mtu akiandika xul, xaxa honestly sijui huwa namuonaje
 
niliomba mchumba humu,nikatoa sifa zangu,kuwa ni mwl prvate xkulz,nahitaj mchumba mwaminifu,aliye na kaz yoyote toka arusha tukifahamiana twende kwa wazazi na tufunge ndoa,aliye tayar na kupima taf ajitokeze tu kwa kunipm.Maana mpaka sasa cjapata majib yyte!

yule mwanafunzi aliechora ZOMBI ktk booklet ya NECTA, utakuwa wewe ndiye uliemfundisha! utampataje mwenza namna hii wakati namna yako ya uandishi inaonyesha bado hazijatimia sawa sawa, humu wanajua hazikutoshi, bahati mbaya JF imejaa wa timamu watupu!
 
yule mwanafunzi aliechora ZOMBI ktk booklet ya NECTA, utakuwa wewe ndiye uliemfundisha! utampataje mwenza namna hii wakati namna yako ya uandishi inaonyesha bado hazijatimia sawa sawa, humu wanajua hazikutoshi, bahati mbaya JF imejaa wa timamu watupu!

Hahaaaa. Lmao.
 
Wewe sio mwalimu wa kawaida....! Xkulz? Yyte? Eenh! Nani love si utaiita loxe?
niliomba mchumba humu,nikatoa sifa zangu,kuwa ni mwl prvate xkulz,nahitaj mchumba mwaminifu,aliye na kaz yoyote toka arusha tukifahamiana twende kwa wazazi na tufunge ndoa,aliye tayar na kupima taf ajitokeze tu kwa kunipm.Maana mpaka sasa cjapata majib yyte!
 
Mkuu hata kama wewe ni mwalimu wa voda fasta, isiwe sasa ndio shida ku-state vibaya mbele za watu!

Btw, nikutakie all the besti katika searching..

Iache blueetoth on tu unaweza ukakamata device unayotaka!
 
niliomba mchumba humu,nikatoa sifa zangu,kuwa ni mwl prvate xkulz,nahitaj mchumba mwaminifu,aliye na kaz yoyote toka arusha tukifahamiana twende kwa wazazi na tufunge ndoa,aliye tayar na kupima taf ajitokeze tu kwa kunipm.Maana mpaka sasa cjapata majib yyte!

wewe ni mwalimu wa nini?
 
Umeniangusha sana mkuu. Uandishi wako mkuu umesababisha ueleweke vingine,wanaotumia hayo maneno ni watoto wa sekondari na vyuo vya mtaani. Mathlani nakutakia kila la heri braza umpate mwenzi wako. Usiweke juhudi hum JF pekee,jaribu na huko nje braza.
 
Me nikupe pole kaka, hiyo ishu ya uandishi I hope ushawaelewa wote hapo juu. Umesema moyo mpweke, work hard katika utafutaji wako....basi mmoja ajitokeze just for him
 
kama kweli wewe ni Mwl. Basi safari ya ukombozi wa TAIFA bado ndefu sana
 
Kama wewe mwalimu unaandika ujinga kiasi hichi xhuz au xaxa halafu wanafunzi wataandika nini?? Ndiyo maana dada zetu wenye hekima wameachana na wewe .jaribu kuiheshimu fani ya uhalimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom