ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,428 Reaction score 118,979 Nov 8, 2016 #61 Kasinde said: Endelea kushangaa hivyo hivyo mdogo wangu ukikuwa nawe utayaona japo hutayaona kama yangu maana mie ni Kasie nawe ni Eli, kuchagua ni kuishi mwaya namshukuru maulana kila siku ipitayo tabasamu halikauki usoni mwangu. 🙂 Na iwe hivyo kama uonavyo..... Amen!! Click to expand... Nafurahi kusikia hivyo sista! Ishi uonavyo wewe, I was just trolling with you, coz hata interest na music wa vijana sina.
Kasinde said: Endelea kushangaa hivyo hivyo mdogo wangu ukikuwa nawe utayaona japo hutayaona kama yangu maana mie ni Kasie nawe ni Eli, kuchagua ni kuishi mwaya namshukuru maulana kila siku ipitayo tabasamu halikauki usoni mwangu. 🙂 Na iwe hivyo kama uonavyo..... Amen!! Click to expand... Nafurahi kusikia hivyo sista! Ishi uonavyo wewe, I was just trolling with you, coz hata interest na music wa vijana sina.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,869 Reaction score 29,031 Nov 8, 2016 #62 Kukupenda Kasinde sijuitii
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,027 Reaction score 52,501 Nov 8, 2016 #63 fakalava said: Unavyojipiga punyeto. Click to expand... uliniona?
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,023 Nov 8, 2016 #64 Sam ulimpa haki yake?
fakalava JF-Expert Member Joined Jul 16, 2015 Posts 4,459 Reaction score 6,030 Nov 8, 2016 #65 Miss Natafuta said: kwanini usitulie ukasettle? si bora upige tu punyeto kama mimi kuliko kujidanganya moyo kila siku unapendapenda na kugegedwa ovyo? Click to expand... Umesahau ulichokiandika hapo awali? Miss Natafuta said: uliniona? Click to expand...
Miss Natafuta said: kwanini usitulie ukasettle? si bora upige tu punyeto kama mimi kuliko kujidanganya moyo kila siku unapendapenda na kugegedwa ovyo? Click to expand... Umesahau ulichokiandika hapo awali? Miss Natafuta said: uliniona? Click to expand...
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,177 Nov 8, 2016 Thread starter #66 wambeke said: Maandishi ni sawa na sauti tu maana zote watu wananukuu tuu. tafadhali sema neno na roho yangu itulie Click to expand... Aaamen!! ngoja wakati ufike
wambeke said: Maandishi ni sawa na sauti tu maana zote watu wananukuu tuu. tafadhali sema neno na roho yangu itulie Click to expand... Aaamen!! ngoja wakati ufike
The dream JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 999 Reaction score 997 Nov 8, 2016 #67 Mziki wetu wa kizazi kipya also known as Bongo fleva naona umekua sana na unazidi kuchanja mbunga, siamini hata nyie wakongwe mnaupenda kiasi hichi.. Hongera sana [HASHTAG]#Ben[/HASHTAG] Paul Ww sijui sababu za kukupenda, ila utaooona Moyo mashine, ila majibu ya upendo ushakosaga Ukipenda usishangae ni upofu wa moyo
Mziki wetu wa kizazi kipya also known as Bongo fleva naona umekua sana na unazidi kuchanja mbunga, siamini hata nyie wakongwe mnaupenda kiasi hichi.. Hongera sana [HASHTAG]#Ben[/HASHTAG] Paul Ww sijui sababu za kukupenda, ila utaooona Moyo mashine, ila majibu ya upendo ushakosaga Ukipenda usishangae ni upofu wa moyo
wambeke JF-Expert Member Joined Aug 30, 2013 Posts 2,655 Reaction score 2,650 Nov 8, 2016 #68 Kasinde said: Aaamen!! ngoja wakati ufike View attachment 430960 Click to expand... Wakati ni huu sasa hakuna wakati mwengine tena. au wewe unadhani kuna wakati zaidi ya huu?
Kasinde said: Aaamen!! ngoja wakati ufike View attachment 430960 Click to expand... Wakati ni huu sasa hakuna wakati mwengine tena. au wewe unadhani kuna wakati zaidi ya huu?
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,177 Nov 8, 2016 Thread starter #69 Mapovu said: Kukupenda Kasinde sijuitii Click to expand... Hhahahahhaaa thank youuu!!
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,177 Nov 8, 2016 Thread starter #70 wambeke said: Wakati ni huu sasa hakuna wakati mwengine tena. au wewe unadhani kuna wakati zaidi ya huu? Click to expand... Kwakweli wakati ni sasa maana hatuijui kesho na jana ni historia, cheers
wambeke said: Wakati ni huu sasa hakuna wakati mwengine tena. au wewe unadhani kuna wakati zaidi ya huu? Click to expand... Kwakweli wakati ni sasa maana hatuijui kesho na jana ni historia, cheers
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,177 Nov 8, 2016 Thread starter #71 mwekundu said: Sam ulimpa haki yake? Click to expand... Haki haipatikani ila kwa ncha ya upanga..... wacha aendelee kupambana.
mwekundu said: Sam ulimpa haki yake? Click to expand... Haki haipatikani ila kwa ncha ya upanga..... wacha aendelee kupambana.
wambeke JF-Expert Member Joined Aug 30, 2013 Posts 2,655 Reaction score 2,650 Nov 8, 2016 #72 Kasinde said: Kwakweli wakati ni sasa maana hatuijui kesho na jana ni historia, cheers Click to expand... Kumbe unalitambua hilo? kwanini sasa unakuwa na moyo mgumu kiasi hicho? tafadhali sema neno moja tu na moyo wa wambeke utulie
Kasinde said: Kwakweli wakati ni sasa maana hatuijui kesho na jana ni historia, cheers Click to expand... Kumbe unalitambua hilo? kwanini sasa unakuwa na moyo mgumu kiasi hicho? tafadhali sema neno moja tu na moyo wa wambeke utulie
Hance Mtanashati JF-Expert Member Joined Sep 7, 2016 Posts 23,877 Reaction score 31,652 Nov 9, 2016 #73 wambeke said: Nimeumia sana baada ya kusoma hii story. huku kupenda wazee kimya kimya kutakuja kuniuwa siku moja Click to expand... pole sana mkuu
wambeke said: Nimeumia sana baada ya kusoma hii story. huku kupenda wazee kimya kimya kutakuja kuniuwa siku moja Click to expand... pole sana mkuu
Hance Mtanashati JF-Expert Member Joined Sep 7, 2016 Posts 23,877 Reaction score 31,652 Nov 9, 2016 #74 Kasinde said: Hahahahahhahaaa looh wacha nikuimbie basi... (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosa (Acha waseme) Nimekupendea nini (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosaga (Wacha waseme) Nimekupendea nini. Click to expand... dah we mzee unanifurahishaga sana
Kasinde said: Hahahahahhahaaa looh wacha nikuimbie basi... (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosa (Acha waseme) Nimekupendea nini (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosaga (Wacha waseme) Nimekupendea nini. Click to expand... dah we mzee unanifurahishaga sana
wambeke JF-Expert Member Joined Aug 30, 2013 Posts 2,655 Reaction score 2,650 Nov 9, 2016 #75 peninsula said: pole sana mkuu Click to expand... Ahsante Mkuu. nisaidie kuongea n a huyu bibi anielewe
peninsula said: pole sana mkuu Click to expand... Ahsante Mkuu. nisaidie kuongea n a huyu bibi anielewe