Moyo kwenda kasi sana wakati wa usiku

Lewis Maker

Member
Jan 25, 2019
47
16
Habari zenu wana JF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi huwa napata sana ilo tatizo la moyo kwenda mbio sana sana wakati wa usiku pia nikistuka pia moyo unaenda kasi sana mpaka inanibidi niamke nikae kwanza utulie pia hata wakati wa mchana ila sio sana,
Naombeni ushauri wenu katika pia nilishaenda hospital kupigwa x Ray pamoja kupima presha ila wakasema sina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha unakunywa maji ya baridi glas 1/2 kila siku kabla ya kulala.
Fanya mazoezi kulainisha mafuta mwilini mwako.
Pendelea zaid kula mboga mboga

Sirudii
 
Yote tisa kumi nenda kacheki moyo wako boss ni mambo mengi yanaweza sababisha hiyo hali na mengi yanahusisha kwa njia moja ama nyingine matatizo ya moyo
The earlier the better
Na badilisha lifestyle anza vijimazoezi kidogo vyakula vyako badilisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yote tisa kumi nenda kacheki moyo wako boss ni mambo mengi yanaweza sababisha hiyo hali na mengi yanahusisha kwa njia moja ama nyingine matatizo ya moyo
The earlier the better
Na badilisha lifestyle anza vijimazoezi kidogo vyakula vyako badilisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante sana kiongozi itabidi nirud hospital alafu sometym mapigo ya moyo yanavyokwenda mbio mwili unapooza hadi nguvu zinaisha naona maruerue kama kufa kufa ivi ila hali ikipotea nakuwa kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kiongozi itabidi nirud hospital alafu sometym mapigo ya moyo yanavyokwenda mbio mwili unapooza hadi nguvu zinaisha naona maruerue kama kufa kufa ivi ila hali ikipotea nakuwa kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hizi dalili unahitajika kuonana na daktari haraka sana.

Pia kwa ushauri, nenda sehemu zenye specialists sio hospitali za wilaya ama vituo vya afya.
 
mkuu kwa hali uliyonayo jitahidi kunywa maji mengi hata wakati wa kulala kila siku!! 1.5 lit au 2 litres!! itakusaidia sana sababu maji yana umuhimu mkubwa sana katika mzunguko wa damu mwilini hivo kuwa na supply nzuri ya oxygen..!! moyo kudunda kwa kasi mzunguko wa damu unapampiwa na moyo unakua mkubwa hivo suppy ya oxygn kuwa ndogo huweza kukusababishia kuishiwa nguvu au kuzimia kabisa.
Jitahidi kunywa maji kwa wingi zaidi kwa siku pia na nyakati kabla ya kulala.
 
Asante sana kiongozi itabidi nirud hospital alafu sometym mapigo ya moyo yanavyokwenda mbio mwili unapooza hadi nguvu zinaisha naona maruerue kama kufa kufa ivi ila hali ikipotea nakuwa kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Presha ya kushuka hiyo na inavyoonesha kuna kitu kinasumbua akili yako,

Licha ya kwenda hospital na kupata vipimo vyote lakini mazoezi ndio mkombozi wako, jioni unaweza kuruka kamba, kukimbia hata kutembea haraka haraka, push up kidogo ukitoa jasho, ukioga, kula unapata usingizi mnono usio na marue rue.
 
mkuu kwa hali uliyonayo jitahidi kunywa maji mengi hata wakati wa kulala kila siku!! 1.5 lit au 2 litres!! itakusaidia sana sababu maji yana umuhimu mkubwa sana katika mzunguko wa damu mwilini hivo kuwa na supply nzuri ya oxygen..!! moyo kudunda kwa kasi mzunguko wa damu unapampiwa na moyo unakua mkubwa hivo suppy ya oxygn kuwa ndogo huweza kukusababishia kuishiwa nguvu au kuzimia kabisa.
Jitahidi kunywa maji kwa wingi zaidi kwa siku pia na nyakati kabla ya kulala.
Shukrani sana naufanyia kazi ushauri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran sana maana hii hali imeanza kunitokea baada ya kuongezeka uzito ngoja niingie gym
Presha ya kushuka hiyo na inavyoonesha kuna kitu kinasumbua akili yako,

Licha ya kwenda hospital na kupata vipimo vyote lakini mazoezi ndio mkombozi wako, jioni unaweza kuruka kamba, kukimbia hata kutembea haraka haraka, push up kidogo ukitoa jasho, ukioga, kula unapata usingizi mnono usio na marue rue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi huwa napata sana ilo tatizo la moyo kwenda mbio sana sana wakati wa usiku pia nikistuka pia moyo unaenda kasi sana mpaka inanibidi niamke nikae kwanza utulie pia hata wakati wa mchana ila sio sana,
Naombeni ushauri wenu katika pia nilishaenda hospital kupigwa x Ray pamoja kupima presha ila wakasema sina

Sent using Jamii Forums mobile app
acha pombe mkuu kuna kipindi nilikuwa na tatizo kama lako
 
Habari zenu wana JF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi huwa napata sana ilo tatizo la moyo kwenda mbio sana sana wakati wa usiku pia nikistuka pia moyo unaenda kasi sana mpaka inanibidi niamke nikae kwanza utulie pia hata wakati wa mchana ila sio sana,
Naombeni ushauri wenu katika pia nilishaenda hospital kupigwa x Ray pamoja kupima presha ila wakasema sina

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana rafiki.. vip una kilo ngapi???? urefu wako ni cm ngap????? tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom