Hiyo inaitwa emotional stress, hutokea mara baada ya kunywa pombe nyingi sana.
Kuhisi upweke, uoga, wasiwasi na kujiona mkosefu na hata kukosa usingizi .Tearful, mood swings,anxiety etc.
Badili life style pamoja na kuachana na marafiki
wanaosababisha ulewe .
Kunywa kiasi,mdogo mdogo baadae utaweza kuacha kabisa.