Akipigwa risasi sterring hafi. Ila jambazi ata risasi ya mguu kafa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani nachokaga sana, anapigwa ngumi au teke mpaka anaenda kuvunja ukuta anatokea upande wa pili...Jamani..ngumi gani ya hivi??
Ndio hivyo wanachekesha balaaAkipigwa risasi sterring hafi. Ila jambazi ata risasi ya mguu kafa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio wahindi tu hata wachina na hollywood wanafanya hii sema wao wanaifanya vizuri na camera tricks na cgi za ukweli kuliko wahindi.Hizi movie za hawa gabachori ni kiboko, sijui wanajisikiaje wanavyotuigizia hivi maana eti mtu anarusha gari na mkono mmoja anaponda helkopta,,,yaan ni hivi kuna jamaa anapigana sasa inakuja helkopta inataka kumkata na yale mapanga,mara anakuja jamaa anaendesha kwa kasi vibaya kisha anasimama na kuirusha gari kuelekea kule kwenye helkopta ili isimkate jamaa yake,hapa nimecheka aiseee
Sehemu nyingine ni jamaa anapigana na watu wengii peke yake bila msaada yaan watu laki huko eti anapigana na kuwaua wote hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] wahindi mbona mnatufanyia hivi ,hata kama bongo movie wameshindwa kuigiza msitufanyie hivi tunawaomba
Ebu toa kituko ulichokiona kwenye movie yoyote yenye chai iliyopitiliza
Ile imekaa poa wahindi wanazingua japo wote waongo ila wahindi hawaupatii.vipi ong bak na mapigano yake ya mthai?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani nachokaga sana, anapigwa ngumi au teke mpaka anaenda kuvunja ukuta anatokea upande wa pili...Jamani..ngumi gani ya hivi??