Movie za Kihindi

Movie za Kihindi

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,618
Reaction score
27,599
Hizi movie za hawa gabachori ni kiboko, sijui wanajisikiaje wanavyotuigizia hivi maana eti mtu anarusha gari na mkono mmoja anaponda helkopta, yaan ni hivi kuna jamaa anapigana sasa inakuja helkopta inataka kumkata na yale mapanga, mara anakuja jamaa anaendesha kwa kasi vibaya kisha anasimama na kuirusha gari kuelekea kule kwenye helkopta ili isimkate jamaa yake,hapa nimecheka aiseee.

Sehemu nyingine ni jamaa anapigana na watu wengii peke yake bila msaada yaan watu laki huko eti anapigana na kuwaua wote hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] wahindi mbona mnatufanyia hivi ,hata kama bongo movie wameshindwa kuigiza msitufanyie hivi tunawaomba.

Ebu toa kituko ulichokiona kwenye movie yoyote yenye chai iliyopitiliza
 
Mie siwaangaliagi sa hvi maana wanajua kudanganya haswa
 
Hayo mambo yanatokea kiukweli, nenda India ukajionee mwenyewe ndio utakubaliakubaliana movies.
 
Mimuvi gani ya kihindi mnaangalia nyie..?
kaangalie tubelight imetoka siku ya Eid..uone maana halisi ya picha la kihindi..
 
bongo moviccm nyingi tu tz, zatosha. za kigeni mnataka wenyewe.

Anapigwa mtu teke moja tu amekufa...daah wanachekeshaga sometimes

Hahahahah ,ngumi moja tu mtu anapaa hewani anabiringita mara nne ndio anatua chinii,tena hii ni akshay ndio kaigiza
Cc STUNTER @ICEMAN3D

Yaani nachokaga sana, anapigwa ngumi au teke mpaka anaenda kuvunja ukuta anatokea upande wa pili...Jamani..ngumi gani ya hivi??
 
Mimi movie za kihindi zile za stori ndio nazielewa lakini za mapigano huwa naona chenga tu.
 
Back
Top Bottom