MOU: Ni kati ya Serikali na Dareda Hospitali

Status
Not open for further replies.

measkron

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
3,782
2,406
MOU imesainiwa leo kati ya serikali, wilaya ya Babati na Hospitali ya Dareda iliyo chini ya Jimbo katoliki la Mbulu, hii ni kuwezesha wananchi kupata huduma nafuu na walio chini ya miaka 5, wajawazito, wenye magonjwa sugu na wazee kupata huduma bure. Source: TBC News 8:pm
 
MOU imesainiwa leo kati ya serikali, wilaya ya Babati na Hospitali ya Dareda iliyo chini ya Jimbo katoliki la Mbulu, hii ni kuwezesha wananchi kupata huduma nafuu na walio chini ya miaka 5, wajawazito, wenye magonjwa sugu na wazee kupata huduma bure. Source: TBC News 8:pm

Good! Tunazipongeza sana taasisi za kidini na zisizo za kidini kwa misaada na huduma zao mbalimbali kwa jamii pana ya kitanzania alimradi huduma hazitolewi kwa kuangalia au kwa kigezo cha dini ya mwananchi. Wakati huo huo ni muhimu serikali yetu pia ikajitahidi kuboresha huduma inazotoa ikianzia na zile za afya na elimu ambazo zimedorora kwa kiwango cha kutisha. Kama hali hii isipodhibitiwa kuna hatari ya kila kitu kusimama siku za usoni.

Wakati tunapongeza maafikiano yaliyofikiwa kati ya kanisa na serikali tunaomba mwenye MoU husika atuwekee hapa ili kutuepusha na wapotoshaji wenye makengeza ya kidini.
 
MOU imesainiwa leo kati ya serikali, wilaya ya Babati na Hospitali ya Dareda iliyo chini ya Jimbo katoliki la Mbulu, hii ni kuwezesha wananchi kupata huduma nafuu na walio chini ya miaka 5, wajawazito, wenye magonjwa sugu na wazee kupata huduma bure. Source: TBC News 8:pm

Mkuu kanisa katoliki ni serikali tosha mie si wageni kwangu maana wao mkipiga kelele wanazidi kuchanga mbuga .Haya wale wa kulia kulia na MoU nadhani hawataenda kutibiwa huko .Hongera Kanisa na Askofu wa Jimbo katoku Mbulu
 
Nani ana finance? Lazima kuna kitu wanatafuta hao! Msaada ni jambo jema, lakini inapokuja kwa mbinu za ajabu ajabu inatupa wasiwasi
 
Dah, hii MOU nyingine baina y serikali na kanisa katoliki si itaongeza manung'uniko mengine ndani ya jamii yetu hii inayogawanyika kidini kwa kasi ya ajabu?
 
Nani ana finance? Lazima kuna kitu wanatafuta hao! Msaada ni jambo jema, lakini inapokuja kwa mbinu za ajabu ajabu inatupa wasiwasi
mkuu usisahau kunijibu lile swali langu kwenye ile thread inyomuhusu pinda na lowasa.
 
Serikali ya kipuuzi kweli wanakiburi sana aisee...naona wanaendelea kupeleka pesa za umma kwenye project za kanisa???

Kwanini wasirekebisha na kuboresha hospitali ya mkoa pale babati (morara hospital) wanapeleka pesa za umma kanisani?? (matope kweli)..

naona mfumo krisot umefikia the highest level ya kiburi wala hawajali concern ya jamii zingine..

Hii MoU=Richmond=Epa; iko siku nchi hii itashindwa kutawalika kwa kiburi hii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom