Wengi tulijua UKAWA utakoma tu baada ya Bunge la katiba kuikabidhi ile Rasimu yetu kwa Mwenyekiti wetu wa chama Taifa - ala kumbe mambo yamebadilika kabisa, kinachotustusha zaidi ni kwamba ushirikiano wao huu eti utaenda hadi uchaguzi Mkuu mwakani - kweli hili limetuchanganya mno.
Hapa inabidi tutafute kauli mbiu mzuri itakayowavuta wananchi watuamini kwa mara nyingine kuwaongoza - Ile dhana tuliyotumia kuwatokomeza hawa wapinzani ya udini, ukabila, ukanda naona watanzania wameshaishtukia tayari.
Inabidi tujipange haraka mno ndugu zangu, tutajaribu pia harakati ya kuwagawa hawa jamaa kwa mbinu mbali mbali ili wafarakane kabla ya June 2015 - Hili jambo kweli limetuchanganya sana, jamaa wanataka kutupiga counter attack dakika hii ya 89. Hatuwezi kukubali kiurahisi - tutapambana.
Hapa inabidi tutafute kauli mbiu mzuri itakayowavuta wananchi watuamini kwa mara nyingine kuwaongoza - Ile dhana tuliyotumia kuwatokomeza hawa wapinzani ya udini, ukabila, ukanda naona watanzania wameshaishtukia tayari.
Inabidi tujipange haraka mno ndugu zangu, tutajaribu pia harakati ya kuwagawa hawa jamaa kwa mbinu mbali mbali ili wafarakane kabla ya June 2015 - Hili jambo kweli limetuchanganya sana, jamaa wanataka kutupiga counter attack dakika hii ya 89. Hatuwezi kukubali kiurahisi - tutapambana.