Tangu mwaka 2008, kumekuwepo na tuhuma za ufisadi chuo cha Usafirishaji (NIT) ambapo miradi yake mingi ilikiuka sheria za manunuzi na kupelekea maliza umma kuibiwa .
Tuhuma zilihusu Jeshi la Magereza ambapo mlengwa mkuu alikuwa PCP Augustino Nanyoro ambaye alihusishwa na wizi wa zaidi ya Tshs 600,000,000/= kupitia Kampuni ya GONDO ENTERPRISE ya ndugu yake iliyopo BUGURUNI.
Baadhi ya wafanyakazi kitengo cha uhasibu waliamua kupeleka nyaraka za uhalifu huo Ikulu DSM, Lakini siri hizo ziliwarudia mafisadi kama ifutavyo.
Mtuhumiwa namba moja ni ELIEZER MSONGE (MKURUNGENZI WA UTAWALA NA FEDHA) NI MTU WA KARIBU Na PHILIMON LUHANJO-IKULU DSM.Baada ya Luhanjo kupokea tuhuma zinazomkabili jamaa akaamua kumurejeshea taarifa hizo za siri huku akisisitiza aliyetoa siri hizo afukuzwe kazi mara moja!!!!
Mpango huo ulifanyika haraka na yule msamalia mwema akafukuzwa kama mbwa kwa amri ya Philimon Luhanjo ili kulinda wizi hadi leo.Eliezer Msonge alimuweka hawala yake aitwaye Bi . DEBORA kwenye kitengo cha manunuzi wakati anajua hana sifa ,lakini kwa kuwa ni hawala yake na wote wanapora mali ya umma pamoja.
Juhudi za wapambanaji zimefanyika kwa kasi kubwa mpaka tarehe 3/11/2011 ambapo serikali iliamua kufanya mabadiliko ghafla ya kuweka Mkuu wa Chuo Mpya Ndg MHALAGWA . Baada ya hapo ,Mtandao wa Philimon Luhanjo uliamua kufanya Njama za kulipua ofisi ya Uhaibu tarehe 4/11/2011 ili kupoteza Ushahidi.
Tukio hili linafanyika wakati kaimu mkuu wa chuo (ELIFADHILI MGONJA)ametorokea Zambia !!!
Hadi naandika post hii kuna kikao kizito kinaendelea Chuoni hapo .
Nimeambatanisha Nyaraka za ushahidi wa Ufisadi huo hapa chini