Christian Ronaldo
Member
- Sep 18, 2014
- 89
- 23
Unajua kuna vitu vingine vinatisha sana mjini hapa,ma ccm yalikuwa yanazungumza meengi kuhusu kuitwa kwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa tena yakijidai kwamba watu hawatafurika makao makuu ya jeshi la polisi yakitaka kuwaaminisha watu kwamba CHADEMA imepoteza mvuto,KILICHOTOKEA?,aibu kwao makamanda daima mbele polisi wadogo wanafanya kwa maagizo ya wakubwa wao coz nao wanakula kwa mgongo wa magamba,hakuna atayetawala milele IS OUR TURN NOW...VIVA CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,magamba tuonane 2015...