Moto wa ACT Umezimikia wapi?

ACT ni Chama chenye wachezaji imara wenye kuleta ubingwa na kupoteza vyama vilivyokuwa vinashikilia ubingwa kwa siku nyingi.
 
ACT ni Chama chenye wachezaji imara wenye kuleta ubingwa na kupoteza vyama vilivyokuwa vinashikilia ubingwa kwa siku nyingi.
We jidanganye tu. wenzako CHADEMA walijifanya kufurukuta lakini wamechemsha
 

Kila mkika mnaumizwa na act ongera sana tupo na tunaendeleya na mikutano ya chama halafu tambuwa tu hata nyie xcdm mlikuwa mnanzisha operetion zenu zinaishiya mikowa mi 3 au 4 mnatuliya
Sasa usishangae act tupo fiti kwa lolote
 


Pumbambavu zako umekaa kimajungu tu bado kupewa mtandio cdm kinaumakini gani kinaongozwa na mtu ambeya hawezi hata kuswalisha macho kumchuzi
Mtaishiya hivyo hivyo

Sasa tumebaki na kazi 1 tu
Kuwavuwa magamba
Kuwavuwa magwanda
Kuwavalisha uzalendo tu
 
Sikumbuki kama ACT-Tanzania ilishawahi kuwasha moto mahali.Labda mleta mada atukumbushe vizuri.
 
Kwa hiyo magamba leo mnakula mtoto wenu,wa kumzaa mwenyewe? ACT ni ccm tuu hata mzuge!
 
Reject ni ccm na chadema...sio ACT ndio mana mnahangaika km mtetea anayetaka kutaga kuichafua.
Mwl. Kaijage, hakika umekosa adabu! unawezaje kumtukana mfadhiri wenu? Zito na Mwigamba wakikusoma hapa kibarua huna!
 
Kwani huo moto uliwashwa lini na wapi? Mbona mie sikuuona!? Chama chochote kinachoanzishwa kwa nia ya kufanya usaliti na Viongozi wake hata kuogopa kujitokeza hadharani basi ujue chama hicho hakistahili hata kuwepo nchini.
 
Kwa vile chama mama (CHADEMA) kimekufa, ACT nao wanafuata nyayo hizo hizo
Weston Songoro, wacha kujitoa ufahamu kenge wewe, ACT ilianzishwa kwa ushawishi na mtaji wa CCM. Kwa muda mrefu sana wewe na mapepo wenzako wa Lumumba mumekuwa mkiwashadidia kwa nguvu zoe ACT hapa JF, vipi leo unawageuka na kuwasimanga?
 
Weston Songoro, wacha kujitoa ufahamu kenge wewe, ACT ilianzishwa kwa ushawishi na mtaji wa CCM. Kwa muda mrefu sana wewe na mapepo wenzako wa Lumumba mumekuwa mkiwashadidia kwa nguvu zoe ACT hapa JF, vipi leo unawageuka na kuwasimanga?

sijawahi na sitawahi kuwashadadia hawa ACT
 

Kuswalisha? Kwani cdm ni kikundi cha dini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…