Owkey, nimeshapata Piiemu za kutosha kutoka kwa Mabeibez wa Ukwee (Copied from Le Mutuz)
Wito kwa wadada wote ambao bado hamjanitumia Pii Emu zenye Picha zenu ili nithaminishe kabla sijatoa List yangu, fanyeni Hima...
Owkey, nimeshapata Piiemu za kutosha kutoka kwa Mabeibez wa Ukwee (Copied from Le Mutuz)
Wito kwa wadada wote ambao bado hamjanitumia Pii Emu zenye Picha zenu ili nithaminishe kabla sijatoa List yangu, fanyeni Hima...
ukiona nywele zangu utaomba poo. motto mashaallah. ila uzuri wa mkakasi si unajua tena? nywele zinapita tu ila uzuri wangu hauishi kamwee:A S 2152::A S 2152::A S 2152:
muache amuibie mwajiri. mie mwenyewe leo nazuga tu sifanyi kazi yoyote sana sana nitawasaidia kula lunch yao na chai. na ntaenda msikitini sirudi after lunch (nimefunga dhambi sio misosi)