Mossad foiled 50 ISIS terror attacks in 20 countries, including Turkey

Unakwama mkuu Israel controls all the media, HOLLYWOOD, political leaders unakumbuka US waliilaumu RUSSIA kuingilia uchaguzi wa US??
Actually ni ISRAEL ndomana Trump amekuwa wa kwanza kuutambua Jerusalem kama capital of Israel
una concipiracy nyingi kuhusu israel,wanamiliki biashara kubwa ndiyo,ambazo hutoa hela kwa wagombea..lakini hawacontrol all media...ni mainstream media,sasa mitandao kama facebook na online media zinajiendesha kivyao,picha za maovu ya israel dhidi ya palestine 2014 zilipoenea mitandaoni,palizuka maandamano ulaya na biashara za wayahudi kushambuliw,na sasa kuna rise of fascism(spelling) ulaya,hawa wana chuki na wayahudi,nadhani umeona saluti ya nazi wakati wa mechi ya uingereza na bulgaria
 
All in all Israel controls ulaya (most of it) US and every powerful state including Russia ndomana ile ndege yao iliposetiwa ikatunguliwa na Syria baada wa wiki BIBI na PUTIN wanaongea na yakaisha
 
ISIS si walikuwa wanauza mafuta kwa Turkey kabla Russian airforce hawajaanza kushambulia convoy za mafuta mipakani. Sasa ISIS angemshambulia vipi Turkey. Na Kurdish forces walikuwa wanawashambulia ISIS hapa unga dots. Pia Urusi iliwahi kuwaua Waisrael kadhaa katika shambulizi ambalo liliwaua ISIS kwenye maficho yao
 
All in all Israel controls ulaya (mosy of it) US and every powerful state including Russia nomana ile ndege yao iliposetiwa ikatunguliwa na Syria baada wa wiki BIBI na PUTIN wanaongea na wakaisha
Ile ndege ilidunguliwa katika anga la nchi nyingine na wote Urusi na Israel hawakuwa kwao,sasa ulitaka wafanye nini tofauti na vile. Si rahisi nchi iingie vitani kisa ndege iliyokuwa na watu 16 sijui ambayo hata hivo ilidondoshwa na jeshi la Syria. Tena kumbuka system iliyotumika ni S200 kama sikosei ambayo ni zao la Urusi hivo ile ilikuwa kama friendly fire
 
Mkuu walisetiwa na ndege za Israel baada ya kombora kurushwa f16 zikasepa na kuiacha indunguliwe ni bonge la mchezo
 
Mkuu walisetiwa na ndege za Israel baada ya kombora kurushwa f16 zikasepa na kuiacha indunguliwe ni bonge la mchezo
Mchezo gani sasa. Ile Il-20 ilikuwa kwenye intelligence gathering kipindi amabacho ndege ya Israel ilikuwa kwenye anga hilo,Syria wakarusha kombola kutoka S-200 battery ndo ikaidungua Il-20. Hii mbona simple kujua kuwa Il-20 ni ndege kubwa yenye radar coverage kubwa kuliko fighter yeyote ya kijeshi. Ndo maana kwenye anga lenye vita hawapendi kupitisha ndege za kiraia maana zina radar coverage kubwa
 
ujue wanakitengo cha kupika information. usidhani wanategemea mabunduki tu!
 
Nyengine hii mechi ya celtic na timu ya israel, uwanja mzima ulijaa Flag za palestine
 
unanilipa kwani mzee!!!?..kama hutaki si uendelee tu kutotaka kwako,unanikomand kama umeniajiri,simu unayo,google
 
US finalises deal to give israel $38bl in military aid-ny times,hii habari ya 2016
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…